Mr Kaptenovela
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 621
- 616
Hahaha eti kuipita Mwanza...we unaota nnAyo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app