mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
R.I.P askari wetu ila mtuhumiwa asakwe na akikamatwa auwawe na yeye.
Hii nchi ina matatizo mengi sana, ila kama IGP unasoma hii chukua hatua, sifuraishwi na nilichokisoma hapa hata kidogo. Haiwezkani Polisi ameuawa halafu watu wanashangilia hata kama ni asilimia ndogo, hii inaonyesha kuwa kuna tatizo kwenye jamii yetu na linatakiwa kupatiwa ufumbuzi sasa hivi, IGP tusaidie kutenganisha jeshi lako na siasa, fanyeni kazi kitaalamu zaidi kuliko kutumika zaidi, wananchi walitakiwa kumsaidia polisi na sio kukimbia baada ya polisi kuuawa.
Kwa wataalamu wa saikolojia, huyu jamaa definitely alikuwa kichaa, kwanini alitaka kumuua mtoto wake mdogo? Jamii ilimsaidia namna gani? Kwanini polisi alienda na watu wawili kwenye mji kama dodoma wenye watu wengi? Kwanini polisi alipigiwa simu kama yeye binafsi bila kumshirikisha mkuu wa kituo? Mtendaji Kata alishindwa hata kuchukua majirani waliompigia simu wakaenda nao? Kwanini walimuacha akimbie baada ya kumuua polisi?
Kuna maswali mengi zaidi ya majibu, polisi ndio maana wanatembea wawili wawili ilikuwaje akaaenda peke yake? Mtendaji kwanini hakupiga simu polisi badala yake akampigia mwenyewe binafsi? Tuache kufanya kazi kwa mazoea tuwe tunafuata safety measures tulizowekewa, taratibu zilizoainishwa zifuatwe maana hata kama ni emergence huwezi kujua tatizo unaloenda kutatua litaspill kiasi gani!
Watu walisema hii nchi watu wote ni vichaa, lakini wengine wakaja na kubisha kuwa hakuna vichaa, hii nchi watu wako frastrated sana kiasi cha kupoteza conscious mind
Tunaomba utueleze vizuri, mtuhumiwa wa kitu gani na alikuwa na uhusiano gnai na wananchi na nini kilichotokea hadi wananchi wakaanza kumfanya hivyo?
Ni jambo la huzuni sana. Ccm inatupeleka kubaya sana. Wananchi wanakuwa na uchungu na serikali kiasi cha kuwa na uadui n achuki kubwa namna hii? Nani aliwaamrisha wampige yule askari? Aliwakosea nini? Jamani ccm acheni upumbavu. Mnaua Tanzania Yetu.
Please dont be judgemental. collect your facts first before implying that corruption and personal gain was the motive that this poor askari responded fast on the request from the local govt leader.Kwanini aende kukamata mtuhumiwa peke yake? Harufu ya rushwa kama si maslahi binafsi au kutaka sifa mbele ya bosi. Haiingii akilini, kwa nn aendepeke yake? Na je alikuwa kazini?
Hata mimi nimeipenda hiyo. Sasa hivi ni hivyo tu. Kwanza sasa hivi vijana ni kujipanga kuwasaka askari wanaokaa mitaani. Make wao wamegeuka wafuasi wa kutumikia mafisadi na kutuona raia kama siyo watu.
Sera ya CUF ndo inayopaswa kutumika. (Jino kwa Jino) Kova anapotoa Mafisadi wanapotoa amri ya kupiga raia basi nasi tujiandae kujibu. Jino kwa jino ndo litatuokoa raia
Mitaa hii ilipotokea tukio jana, upande wa juu yake mitaa ya Njia Panda Ya Nkuhungu kuna dada tangu amelala jana hajaamka mpaka leo, yaani amefariki maiti wameikuta ndani. Kinachoendelea nadhan watu wa upelelezi wamefika tayari, ila hii mitaa sio mizuri kwa maisha ya kuishi watu wanyonge
Kituo cha polisi hakuna, polisi wenyewe wanaogopa sana hii mitaa maana inasemekana tangu zamani waharifu wa Mkoa wa Dodoma ndiko wanakotokea huku. Ukiwa Dodoma mjini ukiwaambia watu kuwa unatokea Chang'ombe wanakaa mbali na wewe. Yaani polisi wetu wamekuwa wavaaji wa zile uniform tu basi, kazi yao haionekani kabisa siku hizi
!
!
hawa ni kuwasaka mmoja mmoja kitaani kisha tunazaa nao. Raia tuko wengi kuliko wao, tukiamua kuwashikisha adabu watashika tu. Wanalala katika nyumba zetu, wanakunywa katika baa zetu, mademu zao tuko nao kitaa yaani yuna kila nafasi ya kuwafanyia kitu mbaya.
Huyo askari alikuwa na toy? only in Tanzania
Kituo cha polisi hakuna, polisi wenyewe wanaogopa sana hii mitaa maana inasemekana tangu zamani waharifu wa Mkoa wa Dodoma ndiko wanakotokea huku. Ukiwa Dodoma mjini ukiwaambia watu kuwa unatokea Chang'ombe wanakaa mbali na wewe. Yaani polisi wetu wamekuwa wavaaji wa zile uniform tu basi, kazi yao haionekani kabisa siku hizi