Dodoma: Askari Polisi auliwa na raia

Dodoma: Askari Polisi auliwa na raia

Wanaharakati walijaribu kumsihi sana Mizengo Pinda afute ile kauli ya wapigwe tu akawa mbishi. Haya ndio madhara ya kauli chafu kama zile
 
Inasikitisha kama hali iko hivyo, ila hili la polisi kuogopa huo mtaa (kama kweli) mbona kama ni habari ya kufedhehesha sana???!!!

David Misime naona anashindwa kuendeleza pale Zelothe Steven alipoishia .... Chang'ombe ya Gwaswa, Kizota na Chaduru bus mbili ni mitaa hatarishi kwa makazi ya raia wema ...

Zeloth alifanikiwa kiasi kikubwa kuharibu mipango yao ila huyu wa sasa ameboresha ulinzi bungeni, Njia kuu za malori na keko kwa makahaba.
 
!
!
kil z€ m@zaf#kin polis...... acha wafe tu maamae zao. Nawamaindi kinyama.

kama huna cha kuchangia pita kimya kimya ... Wewe mtu amepoteza maisha kwa kujaribu kuokoa maisha ya kiumbe kisicho na hatia ... Wabongo tubadilike chuki binafsi hazihitajiki kwenye Tanzia...

R.I.P soja..
 
Inasikitisha kama hali iko hivyo, ila hili la polisi kuogopa huo mtaa (kama kweli) mbona kama ni habari ya kufedhehesha sana???!!!



Japo wanaweza wakakanusha lakini huo ni ukweli mtupu, tangu niujue huu mtaa nishida. Kituo cha polisi hakuna ila wameweka mtaa wa pili uitwao Chamwino karibu na daraja la kujia main Road (Njia panda ya Area C). Kuna vijana huku wameshindikana, hapa juzijuzi haijapita hata mwezi wananchi wakaamuua kumuua jambazi sugu kwa kumkata kata na mapanga, ambae alikuwa mkongwe sana hapa. Kiukweli nadhani huku kumeshindikana, na vijana wa huku hawaogopi doria zinazofanywa na askari hao.
 

Attachments

  • IMG_20141224_072405.jpg
    IMG_20141224_072405.jpg
    201.5 KB · Views: 357
  • IMG_20141224_072609.jpg
    IMG_20141224_072609.jpg
    220.9 KB · Views: 319
  • IMG_20141224_072714.jpg
    IMG_20141224_072714.jpg
    262.9 KB · Views: 310
  • IMG_20141224_072725.jpg
    IMG_20141224_072725.jpg
    263.5 KB · Views: 301
Kwa taarifa hii ya polisi huyu polisi ni shujaa kuweza kuyatoa maisha yake kwa ajili ya kumuokoa mtoto. Pamoja na kuchukia polisi wanavyotesa raia lakini bado ni watu muhimu sana katika kudumisha amani Tusifurahie anapopatwa na jangwa kama hili akiwa kazini.
 
Hiyo picha siyo ya police, ni ya jambazi aliyeuwawa takribani wiki tatu mitaa hii hii. Wananchi wakaamua kutimiza hamu yao maana walikuwa wanamfahamu vizuri. Tena siku hiyo askari walifika kabla jambazi hajakata roho, police wakakaa pembeni mpaka wananchi walivyomaliza kazi yao ndipo police wakachukua maiti na kuondoka nayo. Nahisi hata huyo aliyemuua police jana ni kundi moja na huyo jambazi mwenye picha hizo juu. Taarifa za leo asubuhi zinasema huyo mtu aliyemuua police nae kauawa huko mahakamani Dodoma Mjini
 
polisi wasipojiangalia majambazi watawamaliza lazima wakae wajiulize nn tatizo hadi majambazi wamewazoea kiasi hiki IGP angalia sana watendaje wako ukienda pale polisi central dar es salaam mkoa wa kipolis ilala kuna coplo moja wa upelelezi anaitwa Christopher MTABUTU ni mzee kwa umri japo huwa anajifanya kijana ua ni limbukeni flani hapa mjini mla rushwa mkubwa na ndio wanachangia kulipaka matope jeshi la polisi lakini tatizo hawa jamaa zetu wamekaa kidealdeal tu imefika wakati polisi waaminifu wasiokula rushwa wanaulizwa wanawezaje kufanya kazi bila mlungula aibu watangaze tu kushindwa kazi
 
Ameonya wananchi na chuki dhidi ya polisi? me nadhan angeonya polisi na chuki dhidi ya watanzania!

Point.! Ndo mana huku walianza kuwapeleka zamani.! Lkn kwa huyu hana kosa ila naye yumo kuleeeeee....kwa waleeee....
 
Waueni tu hila kama nao wengikuwa wauaji km mnavyodai sidhani km mmengukuwa mnaandika utumbo huo kwa amani labda niulize kuna askar aliuwa raia akabaki salama na kazi yake si wote wapo jela? ss mnaposhabikia binadamu mwenzio kuuliwa we unajiona uko salama kbs?

Hapo ni sawa na nyani kucheka wakt chaka linawaka moto wkt jion atakosa pa kulala. Ebu tukemee maovu bila kujali ni nani wala nani kila raia ana haki ya kuishi na mungu hapendi tuwe wanyama kiac hicho.

Kamanda zombe.!
 
Kuna maeneo ni vitovu vya uhalifu kama niko sahihi na kumbukumbu zangu hilo eneo ni moja ya maeneo korofi sasa swali mpaka kunakuwa labelled kwa nini kuliachiwa.

Huyu askari alikuwa anapita njia au? Kama alitokea kituoni kwa nini alikuwa peke yake!? Kama ilikuwa ni lazima kwenda peke yake, usalama wake ulikuwa juu ya nani/ nini!?

Mchelea mwana kulia....
Ni kweli walikosea kumtanguliza peke yake tena bila silaha. Huyo mtuhumiwa itakua ana matatizo ya akili nahisi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tabby

Mimi naomba tutenganisha siasa na mambo mazito kama haya. Mimi naamini kabisa kinachotendeka sasa hivi ni jamabo zito sanaaaaa. Haijatokea hata siku moja wananchi wakamwua askari kikatili hivyo.

Hiyo siyo jadi na mila za Watanzania. Kuna kitu kikubwa sana kipo kinakuja na kitafika. Serikali inatakiwa iwe makini sana na mwendelezo wa vitu vinavyotokea sasa hivi.

Kwa mawazo yangu kinachotokea sasa hivi ni mwendelezo wa mtandao wa kuuawa kwa askari na kupokonya silaha kule Geita(? sikumbuki vizuri ni mwaka jana lilitokea), Tanga, Ikwiriri, na juzi juzi Morogoro. Polisi vilevile wamepigwa mabomu kule Songea mara kadhaa.

Huu ni mwanzo wa ngoma, inakuwa lele baadaye inakomaa. Boko Haram walianza kwa kuwaua Wakristo makanisani sasa wanawaua Waislamu wenzao.


Beware Tanzanians. Beware. Something is coming your way.

Well said mkuu, wotetuna hitaji mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa lakini siasa au akili za kushabikia mambo ya mauaji ya Raia au Police, nikukosa akili.Na niroho za kishetani. Tukosoe uovu kwa nguvu zote bila kujali alietenda uovu huo ni askari au raiya. Tusiwe kama wajinga flani hivi.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: KVM
Yani mtu anakufa kwa kumuokoa mtoto aliyetakuuwawa na baba yake alafu mtu unaingiza uccm na ukawaa? Ivi tunafikiri vizuri kweli? Kwaiyo uyo mtoto angekufa msingelaumu police na ccm yake?

tubadilike ipo cku litakukuta sidhani kama utakumbuka ukawa,ccm,polisi au lipumba
Yuko wapi mwangosi...yuko wapi kamuhanda...
 
Marehemu wakati wa uhai wake:
attachment.php

attachment.php

[/QUOTE]

Hebu tujiulize huyu askari mbona anaonekana hakuwa mkakamavu kivile? japo kwa haiba yake alikuwa anaipenda kazi. pia nawaasa askari sasa dunia imebadilika lazima kujihami kwa bisibisi wili spana nondo na mipini ya shoka, ukiitwa kwenye tukio kama hauna silaha beba panga nondo sime kwani lolote laweza tokea, usiende kwenye tukio peke yako ukajifanya wewe swazinega.
 
Askari mwenyewe mbona kama mtoto vile

ukweli huyu askari hakuwa mkakamavu sidhani kama alikuwa na miaka hata mitano kazini, na ilikuwaje akaenda pekeyake bado katika mazingira yale akajifanya swazinega, ningekuwa mie ningemshambulia kwa mawe kwanza huyo jambazi.
 
Back
Top Bottom