Niambieni
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 625
- 171
mh.tundu lisu popote ulipo.
Kama ulilia juzi na wakati mh mwenyekiti cuf hakuguswa zaidi ya wapambe wake kupewa dicpline kidogo.
Kwa heshima ya mpiganaji akiyekuwa tayari kufa ili kumuokoa mpiga kura wako wa miaka 18 ijayo.naomba kesho uonyeshe machungu kama yale ili tafadhali.nisikuone mnafiki kuliko watu wote bungeni-
watanzania-najua tumetendewa mengi na polisi ,lakini kwa hili naomba tuungane kumuombea shujaa huyu.
Wapo wengi wanaopoteza maisha wakiwa kazini, lakini sababu sisi ni wakurupukaji tunafurahia.bika kujua kuwa inawezekana wanaofariki kama huyu ni wale polisi 5% wanaopedwa na wananchi.
Hembu wooote na tusome wasifu na harakati za kamanda huyu mpaka anafikwa na umauti alikuwa mtu wa namna gani, mtakubaliana na mimi.
R.i.p commonder.
Sote tu mavumbi, kwayo tutayarudia.
asante sana mkuu, naona mungu anakutumia vema.
Ubarikiwe!