Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
Huyu polisi naye alipenda mwenyewe kufa unaenda kumkamata mwalifu mkubwa hivyo ukiwa mwenyewe unategemea nini ..nikikumbuka kile kipigo nilichopigwa kwenye maandamano ya amani Arusha naichukia sana jeshi la polisi hata nikisikia polisi amekufa au ameuwawa sitohuzunika .