Yaani unaomba MUNGU amfiche mfuasi wa shetani, ili aendelee kuua? Hivi unajua Kijana wetu ni mwanaharakati wa kupinga mauaji ya Albino?.
Sasa mwenzetu ameuawa nawe unataka asikamatwe. kwanza ilitakiwa na wewe ukamatwe ili usiue au kuhifadhi uhalifu. Na hapo ndio utafunzwa neno upendo wa kweli ya MUNGU wetu aliye Mkuu.
Mungu msamehe uyu mtupa chakula ajui walio lala na njaa