Kwahiyo miongoni kwa polisi waliompiga lipumba huyo kijana marehemu alikuwepo? Je una hakika gani kwamba huyo kijana polisi aliyeuawa alikuwa anakubaliana na polisi wenzake waliowapiga cuf? Au ukiwa polisi unashikiwa akili kwamba kifanywacho na polisi wore ni lazima ukikubali na kukiona kizuri hate kama unajua ni kibaha? Hakika kijana amekufa kishujaa akitetea uhai wa mtoto asiye na uwezo hata wa kujieleza.
you are insane ... Period!nifuraha kubwa kwa wananchi walio wengi bila kujali askari alikuwa anafanya nini kutokana na sisi wananchi wengi tomewachoka. Waonevu wauawaji wezi wanapiga ata dada zetu pole familia kukubali kijana akafanye kazi taasisi iliyokwisha chafuka kama hiyo kwa damu za watu.
Imekuwaje hapo Dom?
Intelijensia haikuwepo au?Hata hivo nasema acha wapigwe tu!
Jana nimemsikia Mkulu wanji hii akisema WATU WANASHANGAA NINI LIPUMBA AKIPIGWA NA POLISI???
Na mimi nauliza hivi, WATU WANASHANGAA NINI POLISI AKIUAWA NA WANANCHI?????
This is TIT for TAT. Lazima kitaeleweka tu.
you are insane ... Period!
Nope! I don't judge indiscrimately as you do!One day you will follow my word.
Mungu sikia viliyo vya wengi mfiche muuwaji asionekane kwakuwa amewafuta macho wengi amenkuua asikari police sio ndo utaitoa ccm madarakani au ndo utaingiza chadema au cuf madarakani huo niujinga kuna watu humu wanashabikia kuuwawa kwa police lakini ipo siku watakuja kulia na kusaga meno.mungu mlaze mahara pema asikari wetu ameen!
Siku ukiwa na dharura utajua kwa nini alikimbilia kwenye tukio. Assume mtu amekushikia panga unapiga simu polisi anakwambia ngoja niwakusanye wengine tuje ... He was right!Kwanini askari aende peke yake na ameambiawa mapema taarifa ya mtuhumiwa kwamba ni mtu hatari? pia hii ni dalili kwamba mtuhumiwa kuwa ktk mikono ya police si salama ndio maana jamaa akaamua kupambana.
Nani kawaloga kuwa polisi wote hawatendi haki? Kama ni issue ya watu kutenda isivyo haki limeingia kila Taasisi. Mbona wanasiasa ambao ni vigogo wa rushwa hawauawi?police tendeni haki kwa raia ili kuondoa chuki dhidi yenu..
Nifuraha kubwa kwa wananchi walio wengi bila kujali askari alikuwa anafanya nini kutokana na sisi wananchi wengi tomewachoka. Waonevu wauawaji wezi wanapiga ata Dada zetu pole familia kukubali kijana akafanye kazi taasisi iliyokwisha chafuka kama hiyo kwa damu za watu.
Nope! I don't judge indiscrimately as you do!
Everyone will carry his or her burden.
Yes, a lot of police are doing worst things a corp can do, but this guy was doing his job, trying to save life and paid ultimate price. Nothing you say can convince me on this matter (even if another corp kills me today).
He is and will remain a HERO, life saver!
Mungu sikia viliyo vya wengi mfiche muuwaji asionekane kwakuwa amewafuta macho wengi amen
Inaonekana wewe ni mwanasiasa wa kufurahia mauaji. Maneno yako hayana ukweli wowote. Unajikanyaga kanyaga tu na pia hauna busara kabisa.