Munusco
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 201
- 23
Watu walio kuwa wanashabikia lipumba na wafuasi wa cuf kupigwa bila hatia,haohao leo ndio wana muonea huruma,au ndio mkuki kwa nguruwe....!!???wa tz tuna takiwa tuwe kitu kimoja kwenye mambo ya msingi kama haya.sio una kuta watu wana tetea mafisadi humu bila kujua wana chochea matatizo