Ni kweli mkuu..na mm kitu kikubwa nachopigana ni hii kufanya kazii kwa bidii na kuzingatia maadili(hasa kwenye kuheshimu kila mtu hasa wagonjwa)..tuendelee kupigania hilo chiefDokta pamoja na madaktari kujenga maadli kutokana na taaluma ila kuna wengine ni bangi tupu na uharo.
Dah mkuu umenichekesha sana..ni story tu watu wanapiga..Wahuni hao yaani unaumwa jicho Dr anataka akutie vidole kandahari na Gaza strip
Ha ha ha ha ha ..siwezi fika kwenye mambo ya tiba mkuu.. Evelyn Salt atakuwa rafiki tu..si unajua tena sasa hivi najua atakuwa na majukumu..!!?We daktari acha janjajanja. Unataka kujıfanya Rais wa Vatican kumbe mfalme wa Swaziland. İla una bahati ka Evelyn Salt kamekudondokea. Nakushauri ukiwa unakafanyia ile tiba yenu pendwa uvae kondom mbili na mbili umeze kwa ajili ya kinga thabiti ya nje na ndani. Kabinti kana michepuko Wema Sepetu anapakaziwa tu.
Usikimbie mamy..Aspirin ana-kutease tu..ushuhuda wako muhimu sana kwa ajili ya kuwapa moyo madaktari waendelee kufanya mambo kwa bidii sana na kwa upande huo wajitaidi kulinda status ambayo wengi wanajua ipo lkn hawajawahi kuskia live watu wakitamka namna hii..
Poa poa EveHaya doc poa...
Yaani kuna kitu about this people, hata sielewi ni nini ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession. Hawa watu they got true love na wanajua kujali.
Dogo tunakutania sisi wenyewe mnyonyo tunaujua..Mambo gani ya kutishiana maisha bana, af nyie physicians taaluma yenu haina shukrani. Pale Mwaisela 3 n 4 duh sijui kama patients wenu wana matarajio. Bora ya surgeons, kazi inapigika na inaonekana. Sasa kama ni kupeana kesi ngumu aanza kuvitibu kwanza vibibi vya Mwaisela ward4 na vipone, huo ndo umwamba, then ndo utoe mnyonyo wako wa what else,
Hilo jina lako mkuu lenyewe linatosha bila kwenda kwa mods..mm hapa mwenyewe nimepigwa na mshangao na huu uzi..sikujua kama watu wanazimikia madr..nlijua ni mistari tu..ila wajue madr wengi hasa vijana tu maskini sana mkuu..sisi tunamsemo ndo professional peke yake iliyojaa watu waliovaa vzr lkn maskini..!Hakyamama acha nicheki na mods wamadilishe İD yangu iwe Dr. Asprin. haya mazali yanayowaangukia kina Dr. Mo si ya kuchekea.
Mpaka tunaenda mitamboni huyu daktari kashalengeshewa michepuko mitatu. Najuta kuendekeza hisabati badala ya baiolojia.
Karucee bana..kuna katofauti kidogo..No, anasahau at the end of the day they are men.
Husninyo habari za vin'ghawe mkuu..!!?naumwa ndio. unatibu nini na nini?
Anasema anakuwa na machale na mimi..
Ndo maana tulimuacha hapa na kuzama pm hajui nini kimeendelea.....
Udr ni kazi yenye mvuto kama ambavo usoldier ni kazi yenye heshmaIla mkuu mabazazi wapo mm kuna mshkaji nimesoma nae ..room yake tulikua tunaita room ya dawa ya usingizi..yaani mkienda mahali dakika tano nyingi kashaibuka na mtu..akija nesi mpya mahali ndani ya siku moja nesi wa watu kashaliwa..
Ila mkuu mabazazi wapo mm kuna mshkaji nimesoma nae ..room yake tulikua tunaita room ya dawa ya usingizi..yaani mkienda mahali dakika tano nyingi kashaibuka na mtu..akija nesi mpya mahali ndani ya siku moja nesi wa watu kashaliwa..
Walimu ndo masikini.....Hilo jina lako mkuu lenyewe linatosha bila kwenda kwa mods..mm hapa mwenyewe nimepigwa na mshangao na huu uzi..sikujua kama watu wanazimikia madr..nlijua ni mistari tu..ila wajue madr wengi hasa vijana tu maskini sana mkuu..sisi tunamsemo ndo professional peke yake iliyojaa watu waliovaa vzr lkn maskini..!
Udr ni kazi yenye mvuto kama ambavo usoldier ni kazi yenye heshma
sasa kama mgonjwa kavutiwa na kajileta mwenyewe kwanini asiliwe?
kula tu dr.....
πhoto:πhoto:πhoto:Now you are talking. basi labda mi nna bahati mbaya. Asilimia kubwa ya madaktari marafiki zangu wanakatabia kama hako. Ukichanganya na ulabu wanaopiga, basi huwa tunaenda sawa sana.
Hayo sasa ndo maneno. sio kuwajaza utakatifu. Na hii ni kwa wanaume wote. Kama binti kajilengesha kula aitii kiu yake. Umepewa bure toa bure bila kujali taaluma. Sema wenzetu wana added advantage, wana vitanta kwenye ofisi zao, na wanafanya kazi kwa shifti. Msimu huu wa kibaridi..... Niseme nisiseme???
Ntasimamia ubatizo wa mwanenu kama hamtajali.