Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Ukisema itatokea wiki hii, mimi nasema haitatokea; ukisema haitatokea wiki hii mimi nasema itatokea; ninachozungumzia ni kile ambacho wengi tunasubiri kitokee au tunadhani kitatokea au kinapaswa kutokea. In either case, one of us will be wrong... so do you wanna bet.. ?
Mwanakijiji,
Bet ya namna hiyo haina maslahi. Probability ya kutokea ni 50%
kwahiyo risk ya kukosa ni ndogo ni 50%. Nikiweka pound yangu moja sana sana nitapata pounds 2, hazitatosha hata beer.
but bet for what? na nyie!
Ukisema itatokea wiki hii, mimi nasema haitatokea; ukisema haitatokea wiki hii mimi nasema itatokea; ninachozungumzia ni kile ambacho wengi tunasubiri kitokee au tunadhani kitatokea au kinapaswa kutokea. In either case, one of us will be wrong... so do you wanna bet.. ?
I sure do...now let's go for it
It's not happening...
Ukisema itatokea wiki hii, mimi nasema haitatokea; ukisema haitatokea wiki hii mimi nasema itatokea; ninachozungumzia ni kile ambacho wengi tunasubiri kitokee au tunadhani kitatokea au kinapaswa kutokea. In either case, one of us will be wrong... so do you wanna bet.. ?