PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.

View attachment 3280978
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.

Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.

Matapeli wa kisiasa
 
Sheria inasema uanachama wa chama chako unakoma automatically ukihamia chama kingine. Hakuna ulazima wa kuchoma biblia ukisilimu toka ukristo na kuwa muisilamu.
Hakuna ulazima wa kuchoma biblia ukisilimu toka ukristo na kuwa muisilamu.
 
Wale covid 19 wasirudishwe ni mapandikizi ya ccm ; yatakihujumu chama!
Ila kubwa la mapandikizi(pandikizi kuu) limerudishwa?
Once a snitch always a snitch and once a traitor always a traitor.
Kukaamini hako kachawa ka Mwendakuzimu(Jiwe) lazima uwe na mtindio wa ubongo, I doubt kama kabibi ka Kizimkazi hakajamrithi huyo chawa mwandamizi na kuwa undercover argent wake.
 
Duh! Perhaps he's harboring some resentment, or maybe it's due to his financial ties with CCM being severed. However, given his status as a retired chairman, he shouldn't have distanced himself to such an extent. Even during the "Tone Tone" fundraising campaign, he remained entirely absent ,not even making an appearance via Skype, as Maria Sarungi and Dr. Slaa did. He really ought to abandon such imprudent behavior.
Was Edwin Mtei behaving imprudently as well when he retired his chairmanship? Do you know what RETIRE translates? Definitely if asked for advice or financial contributions he is gonna do that though after the terribly dirty outbursts during the chairmanship campaigns it's better for him and for the new leadership to give each other a space.
Time heals so probably in due time they'll team up again to push the struggles.
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.

View attachment 3280978
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.

Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.

Ni jambo jema
 
K
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.

View attachment 3280978
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.

Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.

Kama lowwasa akirejea ccm, Kuna tatizo Gani slaa kurejea kwenye chama chake Cha zamani?
 
Kinacho mbeba slaa ni kumuunga mkono mzalendo JPM .Tanzania ni lazima itoke mikononi wa Raia feki na kurudi kwa wazawa
Nadhani atawaambia ukweli kwenye vikaovyao kama wanataka support ya wananchi wengi, waache ujinga wakumsingizia jembe Magufuli mambo ya kipuuzi.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.

View attachment 3280978
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.

Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.

Mzee bado anayo kadi ya chama tawala na hakuwahi irejesha.
 
Back
Top Bottom