Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hawaeleweki walikoUkiacha Mch. Msigwa hao wengine sio wako huko huko?
Hawaeleweki walikoUkiacha Mch. Msigwa hao wengine sio wako huko huko?
OKAYHawaeleweki waliko
CHADEMA ni kama dampo tu kila kitu kichafu kiaruhusiwa kuingia humo uchafu unaanza kurudi sasa na kizee kinafiki kingine kipo pembeni kinajifanya ki askofu kumbe uchafu mtupuAliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.
View attachment 3280978
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.
Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.
Sintashangaa kama watamrudisha Msigwa ingawa maisha yake ya kisiasa yatakuwa magumu sana sana!! Afadhali abakie huko huko ccm watampa uDC kama Mashinji!!Msigwa ccm analazimisha tu
Kuwa mwana siasa ni lazima uwe na cheti cha kuwa Muwongo mwizi na uwe unabadilika kutokana hali ya hewa kwa hivo sio hbr mpiya kuwa Slaha amerudi ChademaYa wanasiasa waachie wanasiasa
Nb: Na ndiye atayegombea uRais