Wale covid 19 wasirudishwe ni mapandikizi ya ccm ; yatakihujumu chama!Kwa Sasa chadema inatakiwa kuungana kila mmoja atakaeyefanikisha katiba mpya kupatikana
Katiba ni kipaumbele kuliko Jambo lolote
Akifika bei, an aweza kutuuzaSubiri tuone . Ila angalizo asije akatuuza tena kama wakati ule wa Lowasa 2015
Hivi john yuko wapi mbona haonekani jukwaani.Huyo Uliyemtaja Na johnbaptist Wametupwa Nje Ya Mfumo
Msigwa nae anataka kurudi?Haka kazee nako. Kanakuja kutuvuruga tena😂😂
Usikute kapewa maelekezo pindi ameshikiliwa
Hawezi acha,ndio asili yakeSawa Dkt Mihogo Uache Unafki Sasa Maana Ulifika Bei Ukaenda CCM
Ccm kuna wangapi waliowachukua kutoka chadema tena kwa kuwanunua?Kweli chama kimekufa, mtu aliyeandika kitabu kuwa lissu ni muongo na mropokaji leo anapokelewa kama Shujaa. Chama hakina watu hiki kinachukua makapi.
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya.
Kinacho mbeba slaa ni kumuunga mkono mzalendo JPM .Tanzania ni lazima itoke mikononi wa Raia feki na kurudi kwa wazawaKwa dalili hizi wengi watarejea aisee
Lazima, si habari njema sana kwao.Tayari
Kesho Asubuhi Gari Ni Engine Siyo Bodi Atarusha Kijembe
Kule Lumumba Wamegundua Yalikuwa Magalasa Ya Mav* Ya Mbuzi Yametupwa NjeHivi john yuko wapi mbona haonekani jukwaani.
Uuuuuwiiiiiiiiii😂😂😂😂😂Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya.
Watakuja Na Jambo Lolote Kuizima Hii Habari Maana Wenyewe Walimpitisha Mama Chumba Cha Giza Pale DodomaLazima, si habari njema sana kwao.