PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kweli chama kimekufa, mtu aliyeandika kitabu kuwa lissu ni muongo na mropokaji leo anapokelewa kama Shujaa. Chama hakina watu hiki kinachukua makapi.
Ccm kuna wangapi waliowachukua kutoka chadema tena kwa kuwanunua?

Ni wangapi waliokuwa ccm na kwenda chadema halafu wakarejea ccm?
 
IMG-20250323-WA0206.jpg
 
Back
Top Bottom