and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,977
Hapo ni kutwanga maji kwenye kinu.Watakuja Na Jambo Lolote Kuizima Hii Habari Maana Wenyewe Walimpitisha Mama Chumba Cha Giza Pale Dodoma
Hapo ni kutwanga maji kwenye kinu.Watakuja Na Jambo Lolote Kuizima Hii Habari Maana Wenyewe Walimpitisha Mama Chumba Cha Giza Pale Dodoma
Kwanini itasimama tena?Safi sana Dk, chadema kinaenda kusimama tena
Kaka ndio unaandaa futari mbona umechelewa sana..?
Cdm haitaki machawa wa aina yako.Uyo mzee namkubali sana nipo tayari na mm kujiunga na chadema kwa mashariti maalumu 😎
Katikati kiliyumba,wengi walinunuliwa, na Sasa kinajiunda upyaKwanini itasimama tena?
Hoja ni matusi yake dhidi ya lissu. Pia Shaibu slaa hana ushawishi wowote kwa sasa zaidi ya club house.Ccm kuna wangapi waliowachukua kutoka chadema tena kwa kuwanunua?
Ni wangapi waliokuwa ccm na kwenda chadema halafu wakarejea ccm?
Sheria inasema uanachama wa chama chako unakoma automatically ukihamia chama kingine. Hakuna ulazima wa kuchoma biblia ukisilimu toka ukristo na kuwa muisilamu.Muambieni aichome moto ile kadi yake ya CCM !😏
Thubutu yake, atapelekewa bill akiwa balozi arudishe fedha.Muambieni aichome moto ile kadi yake ya CCM !😏
Mavi ya kale..Hoja ni matusi yake dhidi ya lissu. Pia Shaibu slaa hana ushawishi wowote kwa sasa zaidi ya club house.
Acha kumtukana Wassira.Kuna Vibabu vina tamaa sijaona
Bado hujatoa historia vizuri, utasema tu.Kweli chama kimekufa, mtu aliyeandika kitabu kuwa lissu ni muongo na mropokaji leo anapokelewa kama Shujaa. Chama hakina watu hiki kinachukua makapi.
Unasema Nyalandu?Buriani Chadema kimebeba watu wasio na msimamo!
Asije akajitoa tena ikifika OctoberAliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.
Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.
Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.