PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

PreGE2025 Dkt. Slaa arejea rasmi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kweli chama kimekufa, mtu aliyeandika kitabu kuwa lissu ni muongo na mropokaji leo anapokelewa kama Shujaa. Chama hakina watu hiki kinachukua makapi.
Kwenye siasa hakuna uadui au urafiki wa kudumu.
Siasa hubadilika kuendana na wakati husika.
 
Freeman_Aikaeli_Mbowe_(cropped).jpg

🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
Mwamba anafuraha

Chama kiko katika mikono salama.
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.

Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.

Wakati wa Bwana hauna Kizuizi

Inhawa Dr Slaa alituumiza sana 2015. Ni wazi mambo yalikuja kugundulika mwaka 2025.

Muda huwa ni Mwalimu
 
Cha muhimu aendelee kuitunza kadi ya chama chake CCM. Muda ukifika kusiwe na usumbufu wa yeye kupewa kadi mpya. Kimsingi CHADEMA inamhitaji zaidi Dr Slaa kuliko Slaa anavyoihitaji CHADEMA.
 
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama na Mgombea Urais kupitia Chadema Dr. Wilbroad Slaa amerejea Chadema na kupokelewa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu katika uwanja wa Ruanda Nzovwe, Mbeya. Leo tarehe 23 Machi 2025 Chama kinazindua Operesheni #NoReformsNoElection katika jiji la Mbeya.
IMG-20250323-WA0043.jpg
IMG-20250323-WA0041.jpg
IMG-20250323-WA0040.jpg
IMG-20250323-WA0042.jpg
IMG-20250323-WA0044.jpg
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa amerejea rasmi CHADEMA na ametangazwa katika mkutano wa hadhara Mbeya leo Jumapili Machi 23, 2025.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kurejea kwake kumetangazwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Aman Golugwa wakati wa uzinduzi wa ziara ya siku 48 ya chama hicho leo Machi 23, 2025 inayolenga kuelimisha umma kuhusu ajenda ya 'No Reforms, No election' jijini Mbeya.

Dkt. Slaa aliondoka Chadema mwaka 2015 kutokana na kutofautiana misimamo na viongozi wenzake.

Mchungaji Msigwa is next…
 
Mbowe's silence is quite conspicuous, where is the man? He ought to collaborate with his party colleagues to actively partake in the ongoing "No Reform, No Election" campaign. The triumph of this movement is intrinsically tied to the nation's progress. This is no time for brooding or behaving with the petulance of a girl when the objective is to unseat CCM from power.
 
Back
Top Bottom