Huyu jamaa ni mtunzi.. Ninawasi wasi na uzi ule.... Japo alijaribu kujenga facts ila ni nadharia zaidbritanicca anafaili lote, kuna muda alizama kufuatilia habari za huyu nguli. Alituwekea hadi hadidu rejea za kazi yake.
Njoo utupatie mrejesho mkuu.