Dkt. Shika sasa ana maisha magumu, hana pa kuishi

Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Mkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.
cc
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
 
Mkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.
cc
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
 
Huyu mzee ana illusions tu ha ha ha ha ha au kakutana na wa nigeria mtandaoni ndio akaamini alafu kwanini asiende kufundisha kwenye vyuo hivi nya afya kama kweli ana PhD tena ya kirusi
 
Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Wakati ule anajitangaza kuwa yeye ni Bilionea,je ni yeye pekee ndio alikuwa Bilionea Tanzania nzima?
 
Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Mkuu msaidie Dr Shika 500,000 ya kibongo ili aweze kukomboa US Dollars 18,000 zilizopo Uswizi.
 
Huwa nasema waandishi wa habari wa Tanzania wana shida baadhi yao.

Day one Shika anahojiwa na kudai ana hiyo kampuni ya kemikali na amefundisha chuo niligoogle na hakukuwa na kitu kama hicho.

Anahitaji Dola 200 ili alipwe dola 18M na haulizwi mbona asiwaambie wakate humo humo? Hii si ni zile scams za kuanzia 2005?

Unaitwa kazi na UN kisha unatakiwa kulipia. Si ni scam nyingine hii?

Yet habari nzima haionyeshi juu ya hiyo ishu kua hii ni scam as fat as we know na wamuulize Shika kama anajua kua hizo ni scams na hiyo kampuni yake haiexist.

Hii kumejaa wajinga, makomedian na mazuzu.
 
@="Frank Wanjiru,

Mbona picha na maelezo vinakinzana? au hao watu wamekuja kumwondoa hapo kituo cha mabasimnazi mmoja (One coconut)
 
Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Naunga mkono hoja. What the daily news did is not right, watu wrote kwenye akili timamu wanaijua hali ya Dr. Shika, he needs privacy and not to be ridiculed!.
P
 
Mkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.
cc
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
Kwahiyo mwandishi wa habari hajali privacy ya mtu! Na hata privacy ya maiti!
Asante kwa kuniaminisha hivyo.
 
Mkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.
cc
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
Kutengeneza news kupitia kwa mu kwenye hali kama ya Dr. Shika, is not fair, it's out of context and unethical, unless kama lengo ni kumhighlight ili asaidiwe.
P
 
Huyu mzee ana illusions tu ha ha ha ha ha au kakutana na wa nigeria mtandaoni ndio akaamini alafu kwanini asiende kufundisha kwenye vyuo hivi nya afya kama kweli ana PhD tena ya kirusi
Ni DR kweli... ila kufundisha usiwe na msongo wa mawazo
 
Kwahiyo mwandishi wa habari hajali privacy ya mtu! Na hata privacy ya maiti!
Asante kwa kuniaminisha hivyo.
Waandishi wanapaswa kutilia maanani kitu wanaita "ethical consideration." Na hili Daily News, kama waandishi wa habari, wanalijua.
 
Kwa uzoefu wangu Ni kwamba,wasomi wengi nchi hii madishi yakianza kucheza huwa lazima waanze habari za kujinasibisha na UN.

Atakuambia alikuwa coordinator wa UN somewhere na vitu kama hivyo.

Ni suala la muda,mtaanza kumuona kwenye majalala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom