Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,728
- 22,332
Dr. Shika who has six children sounds better than who have six children.
Mkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Pascal MayallaMkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.
cc
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
Atakuwa kashaamka kaenda kwenye mishe zake za kutafuta Mabilioni,si unajua Mabilionea na Matajiri wanapata muda mdogo wa kulala.Nipo Mnazi Mmoja hapa na mbona simuoni Shika?
Wakati ule anajitangaza kuwa yeye ni Bilionea,je ni yeye pekee ndio alikuwa Bilionea Tanzania nzima?Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Mkuu msaidie Dr Shika 500,000 ya kibongo ili aweze kukomboa US Dollars 18,000 zilizopo Uswizi.Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Hahahaha nimecheka sana hapo anapodai apatiwa tshs 500,000 ili akomboe dollars 18ml iliyopo Uswizi na kaenda mbali zaidi mpaka kumuandikia Rais Barua ya kuomba hiyo hela.Hana hata muda wa kutibu watu, yeye anasubiri tu mabilioni yake
Naunga mkono hoja. What the daily news did is not right, watu wrote kwenye akili timamu wanaijua hali ya Dr. Shika, he needs privacy and not to be ridiculed!.Wanjiru! Is this all you can help Dr. Shika! Is Dr. Shika the only homeless person in Tanzania? What's strange being homeless! Instead of giving him a helping hand you curse him! Dr. Shika needs privacy and help if it is true of what you have written.
Kwahiyo mwandishi wa habari hajali privacy ya mtu! Na hata privacy ya maiti!Mkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.
cc
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
Kutengeneza news kupitia kwa mu kwenye hali kama ya Dr. Shika, is not fair, it's out of context and unethical, unless kama lengo ni kumhighlight ili asaidiwe.Mkuu! Kwa waandishi wa habari jina kubwa linatengeneza habari. Hajakosea. Imagine ni watu wangapi wameshasoma hiyo kupitia Daily News na kwa hivyo hilo gazeti limeshaingiza hela kiasi gan? Nikwambie tu kwamba anayeamua habari kuenda hewani sio mwandishi bali ni mhariri. Kwa maana hiyo Daily News sio wapumbavu na Njiru hastahili lawama.
cc
Pascal Mayalla
Mwanahabari Huru
Hii habari inajieleza yenyewe. Nadhani sihitaji kutoa maelezo. Bado naamini Daily News sio wapumbavu.Kutengeneza news kupitia kwa mu kwenye hali kama ya Dr. Shika, is not fair, it's out of context and unethical, unless kama lengo ni kumhighlight ili asaidiwe.
P
Ni DR kweli... ila kufundisha usiwe na msongo wa mawazoHuyu mzee ana illusions tu ha ha ha ha ha au kakutana na wa nigeria mtandaoni ndio akaamini alafu kwanini asiende kufundisha kwenye vyuo hivi nya afya kama kweli ana PhD tena ya kirusi
Waandishi wanapaswa kutilia maanani kitu wanaita "ethical consideration." Na hili Daily News, kama waandishi wa habari, wanalijua.Kwahiyo mwandishi wa habari hajali privacy ya mtu! Na hata privacy ya maiti!
Asante kwa kuniaminisha hivyo.