Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,858
- 7,847
'MIA TISA ITAPENDEZA' SASA AGEUKA KUWA 'CHOKORAA' : Dokta Luois Shika maarufu hapa nchini kwa Jina la '900 Itapendeza' alipozungumza kwa uchungu na huzuni kuhusu maisha anayoishi sasa.
Dokta Shika alijizolewa umaarufu mkubwa lakini katika maisha yake binafsi amekuwa na panda shuka nyingi huku mwenyewe akiendelea kujipa matumaini siku moja atapata Mabilioni yake anayodai yapo Nchini Uswiss.
Taarifa zilizozagaa kwa sasa hana pakulala na analala kituo cha Basi mfano wa Kalubandika.
Cheki video yake ya mahojiano hapa chini
Dokta Shika alijizolewa umaarufu mkubwa lakini katika maisha yake binafsi amekuwa na panda shuka nyingi huku mwenyewe akiendelea kujipa matumaini siku moja atapata Mabilioni yake anayodai yapo Nchini Uswiss.
Taarifa zilizozagaa kwa sasa hana pakulala na analala kituo cha Basi mfano wa Kalubandika.
Cheki video yake ya mahojiano hapa chini