16 November 2021
Singapore
Naibu waziri mkuu Mh. Heng Swee Keat akiwa na Dr Philip Mpango makamu wa rais wa Tanzania.(Picha kwa hisani ya wizara ya TEHAMA Singapore).
Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Philip Mpango yupo nchini Singapore kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa Jukwaa la Majadiliano ya Kiuchumi The Bloomberg New Economy Forum unaofanyika kuanzia tarehe 15 mpaka 20 ya mwezi November 2021 2021 New Economy Forum | Bloomberg New Economy
Mh. Dr Philip Mpango alitumia fursa hiyo kukutana na Naibu Waziri Mkuu wa Singapore Mh. Heng Swee Keat. Katika mazungumzo hayo Waziri Mkuu wa Singapore alimuelezea jinsi nchi hiyo ilivyofaidika kiuchumi kupitia shughuli za bandari kubwa ya Singapore ambayo ndiyo imechangia kwa sehemu kubwa kuifanya nchi hiyo kuwa tajiri.
Bandari ya Singapore inapokea na kuhudumia meli 400 kwa mpigo katika siku moja na hivyo ni mojawapo ya bandari kubwa kibiashara duniani Why is Singapore port so successful? A look at world’s top shipping centre . Asilimia 90(%) ya biashara ya kimataifa mizigo yake yote inatumia huduma za meli na bandari. Tanzania nayo inataka kujipanua na kuwa mshirika mkubwa wa huduma ya meli na bandari kwa ukanda waAfrika ya Mashariki na nchi za maziwa makuu huku pia ujenzi wa bandari kubwa Bagamoyo, utaifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara ya huduma za bandari duniani.
Naibu Waziri Mkuu wa Singapore ambaye pia ni waziri anayeshughulika kuratibu sera za kiuchumi wa nchi hiyo ameelezea kuwepo nafasi ya kukuza zaidi mashirikiano ya kiuchumi baina ya Singapore na Tanzania pia jinsi ya kufungamanisha uchumi wa nchi hizi mbili zilizo na bahari, mfano kupitia biashara ya bandari.
The Vice President of the United Republic of Tanzania, Dr Philip Mpango, called on Deputy Prime Minister and Coordinating Minister for Economic Policies Heng Swee Keat today. Vice President Mpango is on a visit to Singapore from 15 to 20 November 2021 to attend the Bloomberg New Economy Forum.
During the meeting, Deputy Prime Minister Heng and Vice President Mpango reaffirmed the warm relations between Singapore and Tanzania, and discussed recent developments in both countries. They also exchanged views on the potential for further bilateral economic collaboration and the integration of regional economies
READ MORE : 20211116 Tanzania VP Call on DPM Heng
Singapore
Naibu waziri mkuu Mh. Heng Swee Keat akiwa na Dr Philip Mpango makamu wa rais wa Tanzania.(Picha kwa hisani ya wizara ya TEHAMA Singapore).
Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Philip Mpango yupo nchini Singapore kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa Jukwaa la Majadiliano ya Kiuchumi The Bloomberg New Economy Forum unaofanyika kuanzia tarehe 15 mpaka 20 ya mwezi November 2021 2021 New Economy Forum | Bloomberg New Economy
Mh. Dr Philip Mpango alitumia fursa hiyo kukutana na Naibu Waziri Mkuu wa Singapore Mh. Heng Swee Keat. Katika mazungumzo hayo Waziri Mkuu wa Singapore alimuelezea jinsi nchi hiyo ilivyofaidika kiuchumi kupitia shughuli za bandari kubwa ya Singapore ambayo ndiyo imechangia kwa sehemu kubwa kuifanya nchi hiyo kuwa tajiri.
Bandari ya Singapore inapokea na kuhudumia meli 400 kwa mpigo katika siku moja na hivyo ni mojawapo ya bandari kubwa kibiashara duniani Why is Singapore port so successful? A look at world’s top shipping centre . Asilimia 90(%) ya biashara ya kimataifa mizigo yake yote inatumia huduma za meli na bandari. Tanzania nayo inataka kujipanua na kuwa mshirika mkubwa wa huduma ya meli na bandari kwa ukanda waAfrika ya Mashariki na nchi za maziwa makuu huku pia ujenzi wa bandari kubwa Bagamoyo, utaifanya Tanzania kuwa kitovu cha biashara ya huduma za bandari duniani.
Naibu Waziri Mkuu wa Singapore ambaye pia ni waziri anayeshughulika kuratibu sera za kiuchumi wa nchi hiyo ameelezea kuwepo nafasi ya kukuza zaidi mashirikiano ya kiuchumi baina ya Singapore na Tanzania pia jinsi ya kufungamanisha uchumi wa nchi hizi mbili zilizo na bahari, mfano kupitia biashara ya bandari.
The fourth annual Bloomberg New Economy Forum will convene on November 16-19, 2021 in Singapore, facilitating face-to-face discussions among world leaders in plenary sessions and intimate breakouts.
Covid-19 held a mirror to society’s biggest problems, from climate change to inequality, forcing humanity to grapple with their consequences. But there is hope. Even as the pandemic still rages, the success of groundbreaking mRNA vaccines, the acceleration of the digital economy during lockdowns, and a focus on government spending to save lives and improve livelihoods demonstrate that humankind is capable of taking on — and overcoming — great challenges. Breakthroughs are possible. In science and technology, we’ve entered a new age of discovery.
Call on Deputy Prime Minister and Coordinating Minister for Economic Policies Heng Swee Keat by Vice President of the United Republic of Tanzania Dr Philip Mpango
16 November 2021
Photo Credit: Ministry of Communications and Information, Singapore
The Vice President of the United Republic of Tanzania, Dr Philip Mpango, called on Deputy Prime Minister and Coordinating Minister for Economic Policies Heng Swee Keat today. Vice President Mpango is on a visit to Singapore from 15 to 20 November 2021 to attend the Bloomberg New Economy Forum.
During the meeting, Deputy Prime Minister Heng and Vice President Mpango reaffirmed the warm relations between Singapore and Tanzania, and discussed recent developments in both countries. They also exchanged views on the potential for further bilateral economic collaboration and the integration of regional economies
READ MORE : 20211116 Tanzania VP Call on DPM Heng