Vimba na upasuke....kwa chuki zakoKufunga au kubadili ratiba ya kula toka mchana kwenda usiku
Kuna muda huwa nawaelewa sana wakatoliki na kwaresma yao ,Wao wanasisitiza matendo ya huruma na toba lakini sio kushinda njaa
Hivi kama unakula usiku kucha isipokuwa masaa kadhaa kuna shida?
Kuna wakati tuambiane ukweli,Unaacha kula mchana halafu unakula usiku kucha
Prof Janabi yeye tu anakunywa chai anakaa masaa ishirini na nne ,Wakati wa mfungo atakuwa anawasikitikia sana wanaovimbiwa usiku wa manane
si mbaya ni kazi muzuri sana 🐒Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye sukari ili kuwasaidia wananchi kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kutopanda bei ya bidhaa hiyo.
Dkt. Mwinyi amesema hayo wakati akizungumza na wafanyabiashara wa soko kuu la Jumbi na soko la samaki Malindi mkoa wa Mjini Magharibi leo katika ziara maalumu ya kutembelea masoko na kusikiliza changamoto zao.
Aidha, Dkt. Mwinyi amewaomba wafanyabiashara kuacha kupandisha bei ya vyakula kiholela bila ya sababu za msingi badala yake kuwasaidia wananchi wanyonge kuelekea mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Kwa upande mwingine, Rais Dkt. Mwinyi ameisisitiza Taasisi ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) kuwawezesha wafanyabiashara wa soko la samaki la Malindi kwa kuwapatia mitaji ili kuendeleza biashara zao.
Source - Swahilitimes
Kwa hiyo ulitaka tusile kabisa au?, unataka tufe na njaa nini.Kufunga au kubadili ratiba ya kula toka mchana kwenda usiku
Kumbukumbu za ukristo wanazo orthodox na sio vatican ya warumi,,,shina la kanisa lilianzia mashariki ya kati na kwa ulaya hapo uturuki na ugiriki ambako huko kote kanisa lao la asili ni orthodox na sio kanisa la warumi , wengi wamekalili vatican sababu warumi walisambaza kanisa lao na mengine ya magharibi kupitia ukoloniMkuu unafahamu historia ya unachokiamini au kwa kuwa Baba ni muislam au mkristo ukafuata tu
Hizi dini za uislam na ukristo ni dini za juzi tu ,zile za kihindi ni za zamani zaidi
Watu wanahubiriwa hadithi sema hadithi za mtume
Unafahamu maana ya hadithi?
Hata hawa walokole wakienda vatican kwenye makumbusho yao ndio watajua wanachokiamini kimetoka wapi?
Kumbukumbu za ukristo zipo vatican tena za uthibitisho sio za mchongo