USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Kama amekutuma ulete upuuzi wako humu mwambie atakuwa mbunge wa mbowe na ufipaJesca kishoa the victor,
Kama amekutuma ulete upuuzi wako humu mwambie atakuwa mbunge wa mbowe na ufipaJesca kishoa the victor,
Mtanyooka tu!Zile damu za watu wa KIBITI bado hazijamtosha Tu?
Uwongo=UongoHuo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Jesca Kishoa is a Victor.Kama amekutuma ulete upuuzi wako humu mwambie atakuwa mbunge wa mbowe na ufipa
Utopolo umeandika nini?Jesca kishoa the victor,
Sasa kama ni kutunyoosha Uchaguzi Mkuu wa nini? si bora mngeleta siku ya kunyooshana ambayo na sisi tungeleta Silaha zetuMtanyooka tu!
Mwigulu kills people periodUnao ushahidi au kelele tu
Maisha yako yote unaishi mapori ya Tanganyika Zanzibar unaijua weyeHii video clip ni ya uongo. Zanzibar hakuna maghorofa ya aina hiyo kawandanganye hapo Ufipa.
Hata sasa niko hapa Mwanakwerekwe! Acha utopolo wako! Kawadanganye utopolo wenzako.Maisha yako yote unaishi mapori ya Tanganyika Zanzibar unaijua weye
Tunawanyoosha kwa kura wewe utopolo unawaza kupigana tu wakati ukipigwa kerebu moja tu hoi bin tabani!Sasa kama ni kutunyoosha Uchaguzi Mkuu wa nini? si bora mngeleta siku ya kunyooshana ambayo na sisi tungeleta Silaha zetu
Piga picha tumaHata sasa niko hapa Mwanakwerekwe! Acha utopolo wako! Kawadanganye utopolo wenzako.
Sina utopolo wanamna hiyo!Piga picha tuma
Kabla ya kumkatalia au kumkubalia mlalamikaji itakuwa vizuri tumsikilize. Nchemba ni kweli ana tabia ya kutumia maguvu na huwa hana simile. Haya matatizo yake ya kutokuwa na muda wa kusiliza ndiyo yalimuondoa kwenye uwaziri mwanzoni. Hili ndilo kundi lilimpa mzee Warioba kibano bila aibu wakati wa mchanganuo wa katiba mpya. Mwigulu ana tabia kama za Stanlin wa Urussi na Hitler wa Ujermani. Huyo siyo mtu wa kuaminika. Ukipita kule kwao utaona kuna maandishi kwenye miamba yanayokemea hiyo tabia mbaya. Kwa hiyo ninaamini amehusika na kupigwa kwa huyu mwananchi.Mmeanza kimzushia Mwigulu upuuzi wenu maana jamaa amepiga Kampeni za kishindo tulieni sindano iwaingie
Mwigulu tulia, wewe ni Muuaji unayejificha ficha na unaua kwa kuwatuma watu wafanye matukio.Alikuwa na babako akiratibu ? Mmekuwa waongo na wazandiki watu wanachadema waliohusika na mauaji ya mvungi walikamatwa na walikuwa vijana wa bavicha na wao walitaka pesa tu kama alivyoiambia mahakama na hukumu ikatola mwiguru hakuwahi kutajwa hata siku moja leo ndio unaleta ushuzi wako hapa
Mwigulu ''THE ASSASSIN''Mmemshindwa jimboni mmekuja humu
Kakojoe ulaleVichwa vya Magazeti baada ya October 28
"CHADEMA YALIWA TUNDA KIMASIHARA"