Jana ilikuwa siku ngumu kwa waziri wa Fedha Mhe Dr mwigulu nchemba kila mfanyabiashara wa Maduka kariakoo au kutoka mikoa mbalimbali tuhuma zilielekezwa kwa Dr mwigulu.
Waziri mkuu alisimama Masaa 6 na alipotaka kumuinua Mwigulu Sauti zilisikika Ajuzuluuuuu ; Hatumtaki
Waziri mkuu akamuokoa hakumsimamisha.
Baada ya muda mkutano kwisha kalipa waandishi kaposti selfie.
Hiyo ni dharau kwa mamlaka ya uteuzi; ni dharau kwa mkutano na yaliyosemwa yote.
Waziri mkuu alisimama Masaa 6 na alipotaka kumuinua Mwigulu Sauti zilisikika Ajuzuluuuuu ; Hatumtaki
Waziri mkuu akamuokoa hakumsimamisha.
Baada ya muda mkutano kwisha kalipa waandishi kaposti selfie.
Hiyo ni dharau kwa mamlaka ya uteuzi; ni dharau kwa mkutano na yaliyosemwa yote.