Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,053
- 33,906
Hahaha, mbona unatokwa povu hivi?Kama amekutuma ulete upuuzi wako humu mwambie atakuwa mbunge wa mbowe na ufipa
Hahaha, mbona unatokwa povu hivi?Kama amekutuma ulete upuuzi wako humu mwambie atakuwa mbunge wa mbowe na ufipa
Uache uongoSina utopolo wanamna hiyo!
HAKI kwanzaupuuzi
Acheni uzushi wa kipuuzi, kwa nini aje kuleta uzushi hapa Jf. Kwa nini asifungue kesi kama ni kweli?
Fake video clip. This is not Zanzibar! Zanzibar do not have buildings like those ones!Nje ya tamko hilo amechukua hatua gani aache upole
Maswali gani haya?Unaishi eneo gani wewe?
Ai ni mmoja wa wale mnalipwa zile pesa tunazokusanya huku.
Duh.Vichwa vya Magazeti baada ya October 28
"CHADEMA YALIWA TUNDA KIMASIHARA"
Atawamaliza kuwaua kama swala .Mwigulu ndio mbunge wa Iramba Magharibi, anatosha.
Usikaririshwe rafikiAtawamaliza kuwaua kama swala .
Nimeandika kingereza cha elimu bure, yaani bure kabisa!Utopolo umeandika nini?
Mkuu hao wamezoea dhuruma, wakiiona haki lazima wahamaki,angalia wanavyotokwa na mapovu!Hahaha, mbona unatokwa povu hivi?
Wewe ni CCM wa Lumumba acha kujifanya mwanachadema paka wa mayai weweMakamanda tuacheni uzushi kama ni kushindwa uchaguzi tumeshindwa sababu ya Mbowe. Amekiharibu chama chetu,na uzushi kama huu hautatusaidia.
We are lookingWana kamsemo kao siku hizi, "duniani sheria, haki mbinguni" .