Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Dkt. Mpango: Kodi si tatizo Bandarini

Hata mi nilimuona aisee watu wameanza kuchoka....wapenda masifa ya kijinga wanatupeleka pabaya
Hapa Kazi tu wamepigwa TKO......hapo hakuna aliyefanya analysis kwenye utumishi....pako chini zaidi baada ya wakubwa kupandikiza chuki kati ya wananchi na watumishi
 
Endeleeni kusikiliza ushauri wa kutoka Rwanda, kwa kasi hii Nchi ya viwanda na uchumi wa kati itafikiwa 2099

Mkuu we acha tu , na ubaya wa Ushauri sio wakati wote unaweza kupata ushauri wenye nia nzuri....
 
Kuna watu wanashangilia utadhani wao si Watanzania.
 
Ninyi mnajua nini? Nendeni kwenye UKUTA lakini maisha ya ujanja ujanja kwishney!!
Hebu Punguza Mawazo Mgando Ya Kudhani Kila Anaeikosoa Serikali Ni Mpizani. Kama Wewe Unadhani Ukiwa Mwana CCM Ni Sharti Kupongeza Kila Kitu Hata Kama Kikiwa Kibaya, Basi Ujinga Huo Unao Wewe Mwenye Akili Za Upimbi.
 
Boss wa bandari yupo Kigali-Rwanda na ametangaza leo kwamba kabla ya October TPA inafungua Office Kigali na Kufufua bandari kavu ya Isaka ndani ya muda huo.
 
Tatizo ni Makauli ya Raic. Kulipa kodi sio tatizo. Kumbuka kodi haimuumizi mfanyabihshara. Inamuumiza mtumiaji wa mwisho.

Jamaa si alisema anataka waish kma mashetani. Sasa very soon yeye ndye ataish kama ibilisi Lucifa.
Vitabu vyote vya dini vinaeleza kuwa Mungu wetu anataka mwenye dhambi yoyote atubu ili kama alikuwa akiishi kama shetani aishi kama Malaika.

Mwenyezi Mungu hatamani binadamu yeyote aishi kama shetani.

Tumeshangaa tumepata Presidaa ambaye ametangaza hadharani kuwa atawafanya watanzania waishi kama mashetani........

Sasa nchi yetu naona Mwenyezi Mungu ameanza kuipiga laana kutokana na matamshi hayo ambayo yanaenda kinyume kabisa na matakwa ya Mungu ya kutotaka binadamu yoyote hata kama alikuwa na dhambi kiasi gani asiishi kama shetani, badala yake atubu dhambi zake na aweze kuishi kama Malaika.
 
Hata Mugabe alipokuwa akiiteketeza Zimbabwe vibaraka wake walikuwa wakiimba Mzalendo na Miadilifu huku wakimpamba kwa kila hali! Baada ya muda watu wakawa wananunua mkate na kapu la hela, hakika tuliuona huo uzalendo wa Mugabe na tunauona huo uzalendo wa Magufuli!!
Duh! Ndiko tunakoelekea huko?
 
Naomba Wachanganuzi wa Uchumi wanijibu tu,

Je ni kwa muda gani na kwa namna gani zoezi hili litaongeza kipato cha taifa na kuboresha maisha ya Watanzania?

Sio katika awamu hii Mkuu ,awamu hii anasema 'mtukufu' mmoja na hakuna kupinga.
 
Hivi kweli kabisa tumekosa washauri wazuri wa uchumi kwa nchi yetu?
Nchi ambayo 50% ya mapato yake inatumiwa kulipa mishahara na bado Kuna watu wana jeuri.....
 
Vitabu vyote vya dini vinaeleza kuwa Mungu wetu anataka mwenye dhambi yoyote atubu ili kama alikuwa akiishi kama shetani aishi kama Malaika.

Mwenyezi Mungu hatamani binadamu yeyote aishi kama shetani.

Tumeshangaa tumepata Presidaa ambaye ametangaza hadharani kuwa atawafanya watanzania waishi kama mashetani........

Sasa nchi yetu naona Mwenyezi Mungu ameanza kuipiga laana kutokana na matamshi hayo ambayo yanaenda kinyume kabisa na matakwa ya Mungu ya kutotaka binadamu yoyote hata kama alikuwa na dhambi kiasi gani asiishi kama shetani, badala yake atubu dhambi zake na aweze kuishi kama Malaika.
Mapigo makuu na yafike
 
Ni kweli lakini utasikia makusanyo ya kodi mbali mbali bandarini yameongezeka
 
Hebu Punguza Mawazo Mgando Ya Kudhani Kila Anaeikosoa Serikali Ni Mpizani. Kama Wewe Unadhani Ukiwa Mwana CCM Ni Sharti Kupongeza Kila Kitu Hata Kama Kikiwa Kibaya, Basi Ujinga Huo Unao Wewe Mwenye Akili Za Upimbi.
Acha ujinga! Taarifa za upungufu wa mzigo bandarini hazitokani na VAT. Comparatively gharama zetu ziko chini kuliko bandari zingine. Ukweli ni kwamba mizigo iliyokuwa inafurika ilikuwa ya Mafisadi na ilikuwa hailipiwi kodi! Sasa wamekwama! Ni bora ije michache lakini walipe! Upotoshaji wa UKUTA ni propaganda useless!!
 
UncleBen, naamini unajua kabisa kuwa ukishaona nchi inatetea na kutegemea Kodi pekee kama source of income ni tatizo kubwa sanaaa.

Nchi zote zilizoendelea ziliwekeza kwenye Agriculture na viwanda, viwanda hivi vyetu vitaendeshwa kwa source gani of energy? Umeme huu wa kusuasua hata bila viwanda?

Hili la kodi litaumiza watanzania wengi.

Mkuu kuna jambo halipo sawa huko juu kwenye mamlaka zetu ,ama watu wanajua wanachokifanya au nao wameamua kukaa kimya bora yaende ,

Kila mwisho wa mwezi TRA wanakuja kwa mbwembe nyingi kutuambia sijui mapato ya mwezi ni trilion na ushee ,wakati huo hakuna vyanzo vipya vya kodi ,wateja ndio hivyo bandarini wanakimbia ,Hili la viwanda hata sitaki kuliongelea ule ulikua uongo mtupu tu watu wapate kura zao ,

Kilimo kwanza kilikufa kibudu kabla hatujajua ni wapi tulikosea ,unaskia watu serikali yangu haitoi chakula cha msaada ,

Sawa mapato yapo mbona mmesimamisha ajira ?
Wanaotakiwa kupandishwa mshahara pia tatizo

Hela tu za field za kuwapa wanafunzi mmekosa mmeishia kuwapa nusu ....

Lakini utasikia Nataka Chato kiwanja kijengwe mara moja ,au lazima kabla ya September wizara zote ziwe Dodoma

Bana watajua wenyewe acha tuwe watazamaji
 
Back
Top Bottom