Bwashe kwani hii ni serikali ya wezi? Naona diplomasia inakuishia. Hahahaha.Serikalini!
Naunga mkono hoja, hali ni tofauti sana na namna walivyokuwa wanatueleza. Maisha ya wananchi ni hoi bin taaban.Ukimya wa mkuu kutathimini kwa kina huenda ukwawa na tija...
Hakuna wa maana hata mmoja wote ni wapigaji hata yeye mwenyewe ni mpiga dili tuUkimya wa mkuu kutathimini kwa kina huenda ukawa na tija.
Mawaziri walikuwa wakiuza sura kwa media kumfurahisha mkuu ila ukweli ni mchungu miradi maji,afya nk ipo shida kubwa.
Huenda wakurugenzi wengi pia wakaondoshwa kuondoa utendaji wa mazoea.Ushuhuda mchungu upo taarifa fupi hotuba Waziri Mpango karibuni Arusha.
matusi ya nini, na wewe umehusika kwenye hiyo gari ya 460mAcha unafiki we fala
Huwenda pia wewe una vyeti vilivyotukukaUkimya wa mkuu kutathimini kwa kina huenda ukawa na tija.
Mawaziri walikuwa wakiuza sura kwa media kumfurahisha mkuu ila ukweli ni mchungu miradi maji,afya nk ipo shida kubwa.
Huenda wakurugenzi wengi pia wakaondoshwa kuondoa utendaji wa mazoea.Ushuhuda mchungu upo taarifa fupi hotuba Waziri Mpango karibuni Arusha.
Hahahaaaa........ atakuwa diwani wa Geita huyo!matusi ya nini, na wewe umehusika kwenye hiyo gari ya 460m
Kwanini wanunue Toyota ya 460m, hehehehee alafu kibali walipewa na wizara ya ujenziHahahaaaa........ atakuwa diwani wa Geita huyo!
Maccm hayawezi kupambana na Rushwa hata sikumoja,kwanza saizi wizi umekuja kwa staili nyingine hakuna cha force account wala mfumo wa manunuzi ki electronicBaba mwenye nyumba anajigamba rushwa imeisha. Hakuna kitu kibaya kama kuwa na baba mpenda sifa.
Kwani wapinzani wana alama usoni?!