Wasio sema sio?Kwani wapinzani wana alama usoni?!
Mahakama ya mafisadi kujaa vumbi ni kielelezo toshaBaba mwenye nyumba anajigamba rushwa imeisha. Hakuna kitu kibaya kama kuwa na baba mpenda sifa.
Kama serikali ni ya CCM watumishi wa umma nao ni CCM?Serikali yote ni ya CCM hao wezi wanatoka wapi?
Ajirini wa CCM ili kuzuia huu ukwamishwaji maana sasa hivi hatutaki sababu kbs za kutoleta maendeleo mnayodai mmecheleweshwaKama serikali ni ya CCM watumishi wa umma nao ni CCM?
Sasa hivi hatutaki sababu yoyote ya kutoleta maendeleo ajirini wana ccm tu ili msipate vikwazoKwani wapinzani wana alama usoni?!
Hebu shangaaa na wewe hawachelewi kusema upinzaniSerikali yote ni ya CCM hao wezi wanatoka wapi?
Si wamebaki CCM tupu bado tu wanaibiana?Waziri wa fedha Dkt. Mpango amesema bado kuna wizi mkubwa unaendelea kwenye manunuzi ya umma ukiwahusisha watumishi wasio waaminifu.
Dkt. Mipango amemwomba waziri mkuu awasaidie katika swala zima la kuwashughulikia viwavi hao wa sekta ya manunuzi ya umma.
Chanzo: ITV habari!
Maendeleo hayana vyama.
Tuliambiwa wizi serikalini umeisha kumbe bado?Sasa hivi hatutaki sababu yoyote ya kutoleta maendeleo ajirini wana ccm tu ili msipate vikwazo
Huwezi kupambana na rushwa ukafanikiwa kwa kuondoa transparency.Waziri wa fedha Dkt. Mpango amesema bado kuna wizi mkubwa unaendelea kwenye manunuzi ya umma ukiwahusisha watumishi wasio waaminifu.
Dkt. Mipango amemwomba waziri mkuu awasaidie katika swala zima la kuwashughulikia viwavi hao wa sekta ya manunuzi ya umma.
Chanzo: ITV habari!
Maendeleo hayana vyama.
Nani mwenye uthubutu huo na CAG msema ukweli wamemstaafisha kwa lazima?Tuanze kwanza kuchunguza manunuzi ya ndege kabla ya kuchunguza manunuzi mengine.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kaka umeaga lakini?True hasa kwenye miradi mingi isiyopita bungeni.
10% = 46,000,000Kuna jamaa yuko Geita huko anaitwa APOLNAL ni Mkurugenzi wa halmashauri ya Geita, amenunua V8 la milioni 460 kwa pesa za mfuko wa halmashauri wenye kata zisizozidi 16 aanze kumulikwa huyo kwanza.
Boss hafuati sheria za manunuzi kwa madai kwamba zinachelewesha maendeleo .... wengine wakifanya hivyo unakuwa ubadhirifu!!Tuanze kwanza kuchunguza manunuzi ya ndege kabla ya kuchunguza manunuzi mengine.
Mkuu watumishi wa serikali nafasi za kiutendaji na siyo za kisiasa au kuteuliwa kupitia siasa zina watu toka vyama vyote na wengi zaidi hawana vyama.Serikali yote ni ya CCM hao wezi wanatoka wapi?
Acha unafiki we falaLile gari la 460 milion