Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Mgombeawa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania.

Amesema kwa miaka mitano aliyoongoza ameweza kufanya nchi ifike uchumi wa kati wa chini na hivyo kwa miaka mitano inayofuata ataanza kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Amesema hauwezi kuongeza mishahara wakati hauna hela ya kuongeza mishahara. Aidha amesema hao wanasema kuhusu kuongeza mishahara hawajawahi kutawala.

Amesema wengine vyama vyao wameshindwa hata kujenga ofisi za vyama vyao. Amesema kuzungumza ni rahisi kuliko vitendo.
JPM, ni mkweli anaaminika. Kajenga msingi wa uchumi, najua atatuongezea mshahara.
 
Maelezo yako yanajipinga.Mara mafisadi,mara ameshindwa kuwadhibiti nani kasema?.Hueleweki

Usichoelewa ni nini? Kila siku kwenye kampeni za JPM anazingumzia kupambana na mafisadi. Hujui vita ya mafisadi ni muondelezo. Utakua unajidanganya sana ukifikiri ule ushenzi uliofanyika pale dege kama utaachwa hivi hivi. Vita ya mafisadi ni kama kukata kichwa cha kobe mkuu.
 
Siwezi kuongeza mshahara wakati sijamaliza miradi yangu mikubwa ya miundombinu. Kwa hiyo sasa hivi watumishi wasahau nyongeza ya mishahara sasa hivi!
Mitano kwa JPM, miradi mikubwa ya kimkakati, uchumi wa Nchi (macro economy) , uwekezaji, uchumi wa kati, nidhamu ya matumizi,kulipa madeni ya watumishi (arears, likizo nk), ukusanyaji wa mapato amekamilisha sasa ni usatawi wa jamii, uchumi mdogo mdogo (micro economic) kama nyangeza na kupandisha mishahara. Mitano tena kazi iendelee. Ukichagua hao wanosema hawakusnyi kodi lakini watanya kila kitu ni UONGO! Tusuruhusu mtu kujifunza kazi wakati anayejua yupo!
 
Mitano kwa JPM, miradi mikubwa ya kimkakati, uchumi wa Nchi (macro economy) , uwekezaji, uchumi wa kati, nidhamu ya matumizi,kulipa madeni ya watumishi (arears, likizo nk), ukusanyaji wa mapato amekamilisha sasa ni usatawi wa jamii, uchumi mdogo mdogo (micro economic) kama nyangeza na kupandisha mishahara. Mitano tena kazi iendelee. Ukichagua hao wanosema hawakusnyi kodi lakini watanya kila kitu ni UONGO! Tusuruhusu mtu kujifunza kazi wakati anayejua yupo!
Shetani tokaaaaaa!
 
Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
Kweli amepunguza mfumuko wa bei kwenye vitu vifuatavyo :-
1.Sukari
2.Korosho
3.Kahawa
4.Kunde
5. Mahindi
6.Nyanya n.k.

Kwa taarifa yako JPM pamoja na wewe akili zetu zinawaambia kupunguza mfumuko wa bei basi ni kupunguza thamani au itajiko la bidhaa husika. Hizo bidhaa hapo juu zote zimeharibikwa kwenye kipindi hiki cha magufuli, leo wakulima hawana tena morali ya kufanya kazi zao za kilimo na kuleta manufaa kama zamani,sasa mtu wa aina hiyo unaposema ameBalance mfumuko wa bei then unamaanisha nini..!!
 
Hakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.

Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.

Kama kuna mtumishi wa Serikali atampa kura huyu wakala wa Shetani basi atakuwa hajitambui wallah.....!!!
Huyu jamaa ni mnafiki na mwongo mkubwa. Miaka yote 5 hakuna nyongeza ya MISHAHARA, hakuna AJIRA, hakuna MARUPURUPU, Hakuna NAULI LIKIZO, Hakuna lolote zaidi ya Manyanyaso kwa Watumishi.
Akwende zake huko😠
 
Na haujashuka pia
Ni kweli maisha ni hatua katika hili amehakikisha: 1.Umeme unapatikana (availability) wakati wote 2. kuunganiisha wateja wengi hadi vijijini (vijiji 9,000 kati 12,000) vina umeme kupitia TANESCO na REA,3. Hakuna mgawo wa ajabu ajabu kama tulivyozoea 4. Kuna uzalishaji wa umeme mwingi zaidi ikiwemo bwala la Mwalimu Nyerere. Umeme ndiyo msingi wa Tanzania ya Viwanda , uchumi wa kidigitali, mapinduzi ya viwanda ya nne "4th industrial revolution". Tupinge tukiwa na sababu ,aliyekuwa anafanya biashara ya Generators na kuuza umeme ninamuelewa analalamika njaa, mimi na wewe tuliounganishiwa vijiji vyetu ambavyo vina shule, zahanati , maabara ,vifaa tiba vya kisasa , visima vya maji vinavyohitaji umeme tunapinga nini katika hili?!
 
Wafanyakazi na vijana wa Tanzania mjiandae neema inakuja JPM akiahidi anatimiza.

October 28th twendeni tukamchague Magufuli kwa kura nyingi sana

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kama alivyoleta milioni hamsini kila kijiji,na Noah kwa kila Mtz.
 
Kama kuna mtumishi wa Serikali atampa kura huyu wakala wa Shetani basi atakuwa hajitambui wallah.....!!!
Huyu jamaa ni mnafiki na mwongo mkubwa. Miaka yote 5 hakuna nyongeza ya MISHAHARA, hakuna AJIRA, hakuna MARUPURUPU, Hakuna NAULI LIKIZO, Hakuna lolote zaidi ya Manyanyaso kwa Watumishi.
Akwende zake huko😠
Kutukana hakusaidii tuwe waungwana na tupingane kwa hoja. Ajira ka ajiri, tusidanganyane, nauli kalipa, mapunjo kalipa pia. Ni kweli nyongeza hajatoa na kaeleza nyongeza ya elfu kumi (10,000) kwa mwezi hakutaka anataka afanywe kweli. Ukibisha tunaweka vielelezo au kaangalie www.ajira.go.tz, TAMISEMI nk kila siku wanatangaza!
 
Wewe unatolea mfano sukari ambayo biashara yake inaendeshwa na genge la mafisadi waliojichimbia mizizi ya mbuyu ndani ya mifumo ya uendeshaji wa serikali. Toa mfano wa unga wa sembe tuone.
Hao mafisadi wamesurvive vipi wakati bwana mkubwa aliapa kuwashughurikia mpaka akawaundia mahakama yao mahsusi?.
 
Hao mafisadi wamesurvive vipi wakati bwana mkubwa aliapa kuwashughurikia mpaka akawaundia mahakama yao mahsusi?.

Wewe ndio unasema wame survive. Mimi nimesema vita ya mafisadi ni endelevu. Zingatia neno vita na ulielewe vizuri.
 
Kwa lipi, kama syo wizi hamvuki mwaka huu
Hata uongeeje jomba Magufuli wananchi wameshafanya maamuzi wanakwenda kimsimika ikulu..no matter what...unapoteza muda wako bure nikwambie...rudini tena 2030 Kama mtakuwa Bado mpo salama..waambieni mabwana zenu huku watanzania wamekomaa..hawana mchezo
 
Wee ni mpumbavu
Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
 
Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
Kwa lugha raisi tu tukumbushe bei ya sukari kwa kilo wakati wa JK ilikuwa ni sh ngapi na sasa ni shillingi ngapi, angalia bei vifaa vya ujenzi wakati wa JK na sasa. Au hebu tuambie ni bidhaa ipi ambayo inauzwa bei rahisi kwa kulinganisha na bei iliyokuwepo wakati wa JK
 
Kwa lugha raisi tu tukumbushe bei ya sukari kwa kilo wakati wa JK ilikuwa ni sh ngapi na sasa ni shillingi ngapi, angalia bei vifaa vya ujenzi wakati wa JK na sasa. Au hebu tuambie ni bidhaa ipi ambayo inauzwa bei rahisi kwa kulinganisha na bei iliyokuwepo wakati wa JK

Nimekuambia umeme ambao una multipler effects. Nikaongezea ule mradi wa kifisadi, kitapeli, kihuni wa tegeta umeusikia tena? Mfumuko wa bei inajua wakati wa Kikwete ulikuwa kiasi gani na leo uko kiasi gani? Mfumuko wa bei unajumuisha bidhaa zote. Tuepuke opotoshaji wa kutumia bidhaa mojamoja.
 
Mgombeawa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania.

Amesema kwa miaka mitano aliyoongoza ameweza kufanya nchi ifike uchumi wa kati wa chini na hivyo kwa miaka mitano inayofuata ataanza kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Amesema hauwezi kuongeza mishahara wakati hauna hela ya kuongeza mishahara. Aidha amesema hao wanasema kuhusu kuongeza mishahara hawajawahi kutawala.

Amesema wengine vyama vyao wameshindwa hata kujenga ofisi za vyama vyao. Amesema kuzungumza ni rahisi kuliko vitendo.
Yani kama zingeongezeka hata siku 10 tu mbele huyu kuna siku angeangua kilio jukwaani. Mbabe ss amekuwa kama piriton, mara apige magoti, mara apige push ups, mara acheze mzika tenaa tofauti kabisa na style ya midundo na uchezaji wake, mara analialia eti wezangu mmewapa miaka 10 kwanini mimi 5. Sasa anatutumia mpk sms za kutuomba tumchague eti watanzania wenzangu toka lini mwanachi wa kawaida akawa mwezako!
 
Nimekuambia umeme ambao una multipler effects. Nikaongezea ule mradi wa kifisadi, kitapeli, kihuni wa tegeta umeusikia tena?
Kama hizo multplier effects zipo basi tungeona bei zikishuka kutokana na kupungua kwa gharama za uzalishaji.
 
Back
Top Bottom