Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 359
Na haujashuka piaUmeme tangu aingie madarakani haujapanda hsaa senti moja, ulisikia mgao ukiongezeka na wahindi kuagiza majenereta ya kutulangua? Wenye biashara za sukari na cement si cartel practice hiyo needs a longrun plan and solution.
Ule mradi wa umeme tegeta wa wahuni, matapeli na wezi ulishausikia?