Uimara wao uko hapo na huishia hapo tu kumtafuta pythagoras na kumtesa na kumteka.Akili yako inawaza kuteka watu tu na kuwavamia privacy zao!??
shame on them.
Uimara wao uko hapo na huishia hapo tu kumtafuta pythagoras na kumtesa na kumteka.Akili yako inawaza kuteka watu tu na kuwavamia privacy zao!??
Na awamu nyingine walinipa awamu hii ndiyo ilitia ngumuHilo deni la Steyn. Hata kwenye ripoti ya CAG ilikuwemo.
Kwa hiyo ni "ubabe na kiburi" ndicho kinachoimaliza serikali hii ya awamu ya tano
TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.
Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.
CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Mkuu hawawezi kunipata mimi, makazi yangu yapo nje ya bara la Africa, Halafu najua namna ya kujihami, kifupi hawawezi hata watumie Trilioni 38wakiamua wanamfikia sababu ni watesaji na wauwaji
Tiss ikifumuliwa Magufuli and his ccm out, hili haliwezi kufanyika kamwe.Dah umeandika uzi wa kutoka moyoni mwangu kabisa.
Sio siri TISS wanatuangusha sana watanzania nimewai kueleza huko nyuma kuwa TISS ipo kisiasa zaidi kuliko kiuchumi.
Kama Magufuli anataka kweli nchi ya viwanda wauangalie mfumo wote wa hiyo I Dara, ila kama anatamani yeye au CCM yake mpya kutawala milele waiache ilivyo, lla kwa maoni yangu TISS ifumuliwe na kuundwa upya.
Jamaa gani mkuu?usikute wameshampata jamaa now wanamtesa
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.
Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.
Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.
Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?
Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?
Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?
Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.
Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?
Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.
Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.
Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?
TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.
Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.
TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?
Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.
Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.
TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.
Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.
CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Kujua nini? Mliweza kumpata Ben Saanane kwa sababu alikuwa anajulikana, mkamtesa na kumuua kikatilli, msidhani kila mtu mtampata, this time tutawapata nyie.Walikuwa hawajui
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?
Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?
Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.
Usiku mwema!!
Huyo ni mshamba tu mkuu, Hana la kunifanya, walivyoweza kumpata Ben Saanane wanadhani kila mtu watampataSio vizuri kumtisha mtu mkuu sasa kama walijua hilo kwa nini wasingeishauri serikali ili ndege isiende mda mwingine unapokataa kuambiwa ukweli nako ni shida
I concur with you. conspiracy theories zingeshaandaliwa juu yake.Idara Kama CIA, Mossad,MI5, na FSB wangemzima Bashite bila Rais kujua,TISS haina magwiji wa ujasusi ni vilaza watupu wamejaa humo.
Enzi za Nyerere TISS, ilikuwa na magwiji wa ujasusi kupindukia
TISS ndo wanaomlinda Rais, kwa hiyo hawezi kuwabishia kwa lolote lile.Mm nataka unieleweshe kidogo kwani TISS inaweza kumshauri RAIS na akakubaliana nao kwa mambo yote?
Kwa kweli hali inayoendelea hapa nchini na duniani kote kwa ujumla kuhusiana na hii taasisi, Inasikitisha Sana kupita kiasi, tena inakatisha tamaa kwa kweli.
Wao badala ya kujikita zaidi na kuelekeza nguvu zaidi kwenye ECONOMIC ESPIONAGE wamebaki kuhangaika na ku-deal na vijitu vidogo kidogo vinavyokosoa Serikali, kutwa kucha wanashinda kwenye Facebook, twitter, JF, WhatsApp, n.k. kuangalia nani anaikosoa Serikali jambo ambalo hakuna tija yoyote kwa maslahi mapama ya umma.
Ahsante sana Gentamycine.
Uimara gani wa taasisi wakati tayari tumeathirika kidiplomasia dunia nzima?Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?
Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?
Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.
Usiku mwema!!
Kupokea ghafla kwa popoma humu jukwaani kukakuibua wewe cleverbrightKiongozi Mimi ni cleverbright na sijui ni kwanini huwa mnapenda mno Kunihusisha na hiyo ID ya huyo sijui ggentamisinno wenu.
Gutter nonsense, read btwn the lines ndio ukimbilie key board!Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?
Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?
Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.
Usiku mwema!!