Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
wakiamua wanamfikia sababu ni watesaji na wauwaji
 
Kwa Tanzania upinzani inachofanya Ni kutafuta tu madaraka at any cost ikiwemo kukwamisha maendeleo ili serikali ionekane imeshindwa.Kwa stahili hizo Mungu hawezi wapa nchi na ndio maana 2015 aliwanyima uraisi was muungano na ule wa Zanzibar sababu aliwaona mbinu wanazotumia Ni za kishetani.Na Tundu Lisu aliwahi tamka wazi wakati Lowasa kajiunga alipobanwa kwa Nini wamempokea my waliyemwita fisadi Papa akasema wao chadema wako tayari kuungana hata na shetani mwenyewe Kama atawasaidia kushika nchi.Mungu akasikia alichokiongea na majibu kampa vizuri Sana Lisu Siku hizi hata kusali anasali
Hivi bosi Ni Mungu au Tume ndio hutangaza matokeo..ukizingatia na Uhuru wa Tume yetu. Tusimuhusishe Mungu kwenye haya Mambo ya siasa ambazo hazina ukweli hata chembe. Ukweli CCM bara tulishinda tuu..Ila kisiwani hahahahaaa..😄😄😄😄.TISS wanajifahidi mbona ila na wao wanadam wanamadhaifu .😀😊
 
Tatizo mi naona ni kuwa idara moja imerundikiwa majukumu kedekede .

Ningeshauri siku ikivunjwa ziundwe taasisi mbili .

Moja ihusike na ujasusi wa ndani kama vile NSA

Na ingine ihusike na ujasusi nje ya mipaka yetu ya nchi kama CIA

Hapo watakuwa makini zaidi .

Na recruitment itokee jeshini moja kwa moja hao waliopo sasa hapo walete uraini tuuze nao karanga .
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Walikuwa hawajui
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Sio vizuri kumtisha mtu mkuu sasa kama walijua hilo kwa nini wasingeishauri serikali ili ndege isiende mda mwingine unapokataa kuambiwa ukweli nako ni shida
 
Nimeongea na watu
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Nimeongea na watu wengi wanaofahamu mfumo wa TISS na wanaomfahamu Dr Kapilimba kwa undani. DG-TISS siyo tatizo na taasisi yenyewe iko vizuri ila shida ni Jiwe mwenyewe.

Kwa sasa kuna TISS rasmi chini ya DG -TISS halafu kuna 'rogue TISS' inayofanya kazi kwa maelekezo ya Bashite. Hii 'rogue TISS' inahusisha maafisa wa juu wa TISS ambao wako loyal kwa Bashite kama yule Nyaulingo au yule Musalika aliyepelekwa kuwa RAS Tabora . Bashite ana nguvu sana kuliko mtu yeyote nchi hii ukimuacha Jiwe. Wakubwa wa vitengo nyeti wanajuwa hili kuwa wakimzuia Bashite asitekeleze azma yake basi wanaweza kutemeshwa vibarua vyao na Jiwe kwa shinikizo la Bashite.

Ili kulinda vibarua vyao wanaamua kufanya yanayowahusu na kumuacha Bashite aendelee
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Kama walizifahamu walichukua hatua gani ili kutuepusha na fedheha. Ninachokiona hatuko salama, kilichopo ni "taarifa za kiitelijensia" za kuzuia mikutano ya vyama vya siasa. Wenzetu wapo kwenye uchumi na teknolojia sisi tumejikita kwenye siasa za kitanzania
 
Kwa kweli hali inayoendelea hapa nchini na duniani kote kwa ujumla kuhusiana na hii taasisi, Inasikitisha Sana kupita kiasi, tena inakatisha tamaa kwa kweli.

Wao badala ya kujikita zaidi na kuelekeza nguvu zaidi kwenye ECONOMIC ESPIONAGE wamebaki kuhangaika na ku-deal na vijitu vidogo kidogo vinavyokosoa Serikali, kutwa kucha wanashinda kwenye Facebook, twitter, JF, WhatsApp, n.k. kuangalia nani anaikosoa Serikali jambo ambalo hakuna tija yoyote kwa maslahi mapama ya umma.
Unakuta wanahangaika na kudukua simu, wakati kuna mambo makubwa sana wanaweza kuyafanya ili kuliokoa Taifa.
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Idara hii ipo, na hailali kucha ipo kazini. Tofauti ni malengo yamebadirika, kuhakikisha uimara wa ccm na maslahi mapana ya viongozi wake. Maslahi ya kitaifa si jukumu lao tena. Hata jirani zao TCCB, tofauti hakuna, kama mapacha vile.
 
Inasikitisha sana sijui wanatumia recruitment gani siku izi unabaki kujiuliza wanawatoa wapi

Recruitment zao wanaangalia mtoto wa mjomba kafeli,bas tumpeleke tiss au police hawana mda wa kudeal na intelijensia zao wala uwezo wao wa kufanya hizo kazi
 
ambaye hajui kwamba TISS inatumika kuteka watu akamuulize tajiri wa musoma! asingewawahi tungekua tumemsahau au wangekua wamemnyamazisha kwa kumteka kifikra! maana wakikuteka akili inakua sio yako tena unaish kwa hofu mpaka unakufa! kama hutaki muulize Roma
 
Ungeendelea na hiyo kazi yako ya kuchafua serikali na taasisi zake. Mkurugenzi wa TISS atakuwa mtu wa mwisho kabisa kupokea lawama na kuwajibika, in fact Dr. Kipilimba anafanya kazi kutokana na mabadiliko makubwa ya kisiasa, kiuchumi na uongozi wa awamu ya tano.
Ni wapi nimeichafua serikali?
Kutoa ushauri ni kuchafua serikali?
Mods wasingeruhusu mada ya kuichafua serikali ikae humu.
 
Kwani Serikali inalazimika kufuata ushauri wa TISS? lakini pia serikali haikujua kuwa kuna kesi SA, yaani tusema mahaka ya huko SA haikutuma 'court notice'?

Hapa swala tu ni serikali imepuuzia kulipa deni, tumekuwa na vipaumbele vingi vikubwa kiasi kwamba tunashindwa hata kutimiza wajibu wetu barabara.
Kwani mkuu shauri halikuwa exparte ( kusikilizwa upande mmoja)
Maana summons lazima itolewe ku komplay na rule of natural justice
 
Siku hizi hakuna TISS yenye kumaanisha USALAMA WA TAIFA bali kuna TISSS yenye kumaanisha CCM inabaki madarakani daima, acha tuvune tulicho panda,
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Wewe umeonesha uafrika wapo kwa comment yako.

TISS iko weak, sio tu ktk sakata hili la ndege ila mengi mengi mno, mauaji, vitisho, maadili n.k

Kuna kipindi Lissu alimwambia mpka Kipilimba kwamba yeye anafatiliwa na vijana wa TISS, Lissu akaja kupigwa risasi kweli, mpaka leo kipo wapi kinachoendelea?

Suala la ndege limetuvua nguo, kuonesha ujuha wetu tumeenda kuandamana ubalozini.
 
Back
Top Bottom