Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!

Kwenye ulimwengu wa kijasusi kuna mission ambazo hufanyika bila kuishirikisha serikali na hutoa report baadae baada ya kukamilisha mission hiyo. Hii ni kwa sababu vyombo vya ujasusi vipo kwa ajili ya kulinda maslai ya nchi na sio kikundi chochote. Hivyo walitakiwa wasabottage hii kitu hata ATCL wenyewe bila kujua wangekuja kujua baadae. TISS ya sasa ni dhaifu period
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Kama mmeshindwa kumkamata kigogo hadi leo, jamaa anawatesa hadi najisikia aibu, sembuse iwe mleta mada.

Mtapoambiwa ukweli jaribuni kukubali.
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Mm nataka unieleweshe kidogo kwani TISS inaweza kumshauri RAIS na akakubaliana nao kwa mambo yote?
 
Mkuu asante sana kwa hili, ila kwa sasa na vile tiss ya leo iko huwezi ilinganisha hata kidogo na mabigwa kaa CIA, M15, au the dreaded and most feared spy agency in the world, the israel MOSSAD.

Hapo miaka ya nyuma, TISS ilikuwa imara kabisa, hata huko Kenya tiss ilikuwa inaheshimiwa kabisa, lakini TISS ya leo imejaa wanafiki wa UVCCM, na wewe unajionea vile mambo inakwenda.

Hii TISS ya leo imekuwa kazi yake ni kuteka na kuua, haswa wapizani au watu ambao CCM haiwataki, kumbuka Zachariah kule Mara mkuu?

Hii tiss ya leo ni A BRANCH OF CCM PERIOD,
Mkuu umemaliza.
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Mkuu umenena yote ya busara. Hii serikali imiendelea kumuacha Musiba kuwa mzungumzaji wao tutakoenda hakutatupatia mwanga bali giza
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Kwa hiyo TISS ya Kitine na Kombe haikuwa na hao vijana wa UVCCM?. Mabosi wa hao vijana wa CCM hawakuwa ni wana-CCM?.

Unao ujumbe mzuri na wenye kueleweka, umeharibu mwishoni ulipoamua kuingiza masuala ya kisiasa.
 
Tatizo la serikali ya Awamu ya Tano pamoja na watendaji wake ni kwamba kumejaa vijana wanafiki kama Makonda na wenye njaa. Kazi ni kusifia tu lakini kuna siku wataamka kama wafuasi wa Trump wanavyorudiwa na akili siku za hivi karibuni. Jamaa ukisikiliza wakitoa hotuba hujaa majina ya Rais na sifa zaidi ya wanachokizungumza
 
Nimeongea na watu

Nimeongea na watu wengi wanaofahamu mfumo wa TISS na wanaomfahamu Dr Kapilimba kwa undani. DG-TISS siyo tatizo na taasisi yenyewe iko vizuri ila shida ni Jiwe mwenyewe.

Kwa sasa kuna TISS rasmi chini ya DG -TISS halafu kuna 'rogue TISS' inayofanya kazi kwa maelekezo ya Bashite. Hii 'rogue TISS' inahusisha maafisa wa juu wa TISS ambao wako loyal kwa Bashite kama yule Nyaulingo au yule Musalika aliyepelekwa kuwa RAS Tabora . Bashite ana nguvu sana kuliko mtu yeyote nchi hii ukimuacha Jiwe. Wakubwa wa vitengo nyeti wanajuwa hili kuwa wakimzuia Bashite asitekeleze azma yake basi wanaweza kutemeshwa vibarua vyao na Jiwe kwa shinikizo la Bashite.

Ili kulinda vibarua vyao wanaamua kufanya yanayowahusu na kumuacha Bashite aendelee
Idara Kama CIA, Mossad,MI5, na FSB wangemzima Bashite bila Rais kujua,TISS haina magwiji wa ujasusi ni vilaza watupu wamejaa humo.
Enzi za Nyerere TISS, ilikuwa na magwiji wa ujasusi kupindukia
 
Tusihukumu jamani... Hawa jamaa (TISS) wanafanya kazi ipasavyo na wanatimiza wajibu wao wa kuishauri serikali. Hakuna sababu ya kuilamu maana kufata ushauri ni hiari yako dhidi ya maamuzi unayotaka kuyafanya
Hata utekaji ni kazi ya kushauri.
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Ungekaa kimya kuliko kuandika pumba hii
 
Nimeongea na watu

Nimeongea na watu wengi wanaofahamu mfumo wa TISS na wanaomfahamu Dr Kapilimba kwa undani. DG-TISS siyo tatizo na taasisi yenyewe iko vizuri ila shida ni Jiwe mwenyewe.

Kwa sasa kuna TISS rasmi chini ya DG -TISS halafu kuna 'rogue TISS' inayofanya kazi kwa maelekezo ya Bashite. Hii 'rogue TISS' inahusisha maafisa wa juu wa TISS ambao wako loyal kwa Bashite kama yule Nyaulingo au yule Musalika aliyepelekwa kuwa RAS Tabora . Bashite ana nguvu sana kuliko mtu yeyote nchi hii ukimuacha Jiwe. Wakubwa wa vitengo nyeti wanajuwa hili kuwa wakimzuia Bashite asitekeleze azma yake basi wanaweza kutemeshwa vibarua vyao na Jiwe kwa shinikizo la Bashite.

Ili kulinda vibarua vyao wanaamua kufanya yanayowahusu na kumuacha Bashite aendelee
Mnajua mnapoleta mawazo yenu nyie mnao ijua hiyo TISS msituone wote wapumbavu
Unasema Kipilimba hana shida halafu wakati huo huo kuna wafanyakazi wake kama hao Nyaulingo au sijui Bob Msalika ambao hawamskililzi na wako loyal sijui kwa bashite ?
Mpaka hapa hujaona tatizo la Kipilimba ?
Japo kuna fununu Kipilimba alitaka kubwaga manyanga ndio maana naibu wake akapewa demotion na kutupwa kuwa RAS huko Tabora kama hili ni kweli basi namsifu Kipilimba .
Msalika alikuwa anafanya nini mpaka akaingia kwenye mzozo na Boss wake hilo wanalijua wenyewe.

wengine wanasema kilicho mtoa Kasalika hapo ni report ya CAG

Bashite ni nani mpaka wafanyakazi wa idara wanaopaswa kuwa loyal kwa nchi badala ya kunguni yoyote yule wawe loyal kwake ?

Hivi hizo rogue elements huwa zinaondolewaje ? Badala ya kuziondoa mnakaa kimya bora liende tu kisa mtu analinda kibarua chake ,pale mlienda kwa ajili ya kibarua au mlikula kiapo cha utiifu kwa nchi hii ?

Mbona mnamkuza sana huyu jamaa zaidi ya umbea ana nguvu gani ya kuzuia TISS kutekeleza majukumu yake ? Idara ambayo hata Rais mwenyewe anaweza kushughulikiwa ikiwa anahatarisha usalama wa nchi leo mnasema hawafurukuti kwa Bashite ? Dah Tanzania yangu

Basi haina maana ya kuwa na Kipilimba ,hiyo idara apewe Bashite awe DG .
 
Nimeongea na watu

Nimeongea na watu wengi wanaofahamu mfumo wa TISS na wanaomfahamu Dr Kapilimba kwa undani. DG-TISS siyo tatizo na taasisi yenyewe iko vizuri ila shida ni Jiwe mwenyewe.

Kwa sasa kuna TISS rasmi chini ya DG -TISS halafu kuna 'rogue TISS' inayofanya kazi kwa maelekezo ya Bashite. Hii 'rogue TISS' inahusisha maafisa wa juu wa TISS ambao wako loyal kwa Bashite kama yule Nyaulingo au yule Musalika aliyepelekwa kuwa RAS Tabora . Bashite ana nguvu sana kuliko mtu yeyote nchi hii ukimuacha Jiwe. Wakubwa wa vitengo nyeti wanajuwa hili kuwa wakimzuia Bashite asitekeleze azma yake basi wanaweza kutemeshwa vibarua vyao na Jiwe kwa shinikizo la Bashite.

Ili kulinda vibarua vyao wanaamua kufanya yanayowahusu na kumuacha Bashite aendelee
Basi hii taasisi ishakuwa kama alishabaab, kila mtu anafanya yake.
 
Kwa Tanzania upinzani inachofanya Ni kutafuta tu madaraka at any cost ikiwemo kukwamisha maendeleo ili serikali ionekane imeshindwa.Kwa stahili hizo Mungu hawezi wapa nchi na ndio maana 2015 aliwanyima uraisi was muungano na ule wa Zanzibar sababu aliwaona mbinu wanazotumia Ni za kishetani.Na Tundu Lisu aliwahi tamka wazi wakati Lowasa kajiunga alipobanwa kwa Nini wamempokea my waliyemwita fisadi Papa akasema wao chadema wako tayari kuungana hata na shetani mwenyewe Kama atawasaidia kushika nchi.Mungu akasikia alichokiongea na majibu kampa vizuri Sana Lisu Siku hizi hata kusali anasali
Comment yako iko nje ya mada husika
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Nyinyi ndio hopeless kabisa mna uwezo wa kuattack individuals tu kama unavyodaia kuwa mkimtaka mtamfikia, sasa kama walijua na walishauri na bado mambo ya kaharibika wana umuhimu gani wakm kuwepo kwenye nafasi zao??

Tuna vijana hovyo sana nchii
 
Mnajua mnapoleta mawazo yenu nyie mnao ijua hiyo TISS msituone wote wapumbavu
Unasema Kipilimba hana shida halafu wakati huo huo kuna wafanyakazi wake kama hao Nyaulingo au sijui Bob Kasalika ambao hawamskililzi na wako loyal sijui kwa bashite ?
Mpaka hapa hujaona tatizo la Kipilimba ?
Japo kuna fununu Kipilimba alitaka kubwaga manyanga ndio maana naibu wake akapewa demotion na kutupwa kuwa RAS huko Tabora kama hili ni kweli basi namsifu Kipilimba .
Kasalika alikuwa anafanya nini mpaka akaingia kwenye mzozo na Boss wake hilo wanalijua wenyewe.

wengine wanasema kilicho mtoa Kasalika hapo ni report ya CAG

Bashite ni nani mpaka wafanyakazi wa idara wanaopaswa kuwa loyal kwa nchi badala ya kunguni yoyote yule wawe loyal kwake ?

Hivi hizo rogue elements huwa zinaondolewaje ? Badala ya kuziondoa mnakaa kimya bora liende tu kisa mtu analinda kibarua chake ,pale mlienda kwa ajili ya kibarua au mlikula kiapo cha utiifu kwa nchi hii ?

Basi haina maana ya kuwa na Kipilimba ,hiyo idara apewe Bashite awe DG .
Wewe ndio umeomgea point lakini hawa wapuuzi wengine wanajifanya wanaijua sana TIssccm hovyo.
 
Kwa kweli hali inayoendelea hapa nchini na duniani kote kwa ujumla kuhusiana na hii taasisi, Inasikitisha Sana kupita kiasi, tena inakatisha tamaa kwa kweli.

Wao badala ya kujikita zaidi na kuelekeza nguvu zaidi kwenye ECONOMIC ESPIONAGE wamebaki kuhangaika na ku-deal na vijitu vidogo kidogo vinavyokosoa Serikali, kutwa kucha wanashinda kwenye Facebook, twitter, JF, WhatsApp, n.k. kuangalia nani anaikosoa Serikali jambo ambalo hakuna tija yoyote kwa maslahi mapama ya umma.
hahaaaa sina comment
 
Muundo na majukumu yà chombo hiki ni kuwa loyal kwa viongoz wahuni wa CCM badala ya nchi,wako busy kufuatilia wakosoaj wa serikali hata km wañafanya mambo ya kijinga. They're trained to protect CCM anď their leaders and not national interest.
Ni bora CCM iondoke ,vinginevyo hatima ya Tanzania ni mbaya mno
 
Back
Top Bottom