Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,724
- 2,007
Poti hiyo mwendazake jana nimesoma mahali huenda likaja kuwa kosa kutamka. Utahama Peramiho hadi kule maporini alikojenga mwamba mmoja akiitwa aidan - Litigation ndani huko(mkulima maarufu aliyependa kesi)Wameanza Tena?
Hawajifunzi tu hawa watu dah mwanasiasa sio mtu wa kumuamin akifa ghafla wataanza kumzodoa mama akina gambo Sasa wanatapika tu madudu ya mwendazake
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app