Dkt. Kigwangalla: Rais Samia anaendelea mpaka mwaka 2030, watakaompinga kukiona

Unaambiwa Bashiru ndio JPM wa pili, mtumishi wa wanyonge, kiboko ya mafisadi, mwanamapinduzi mwenye kubeba falsafa za kijamaa. Chini ya uongozi wake kama katibu mkuu wa chama alikinyoosha chama na kufanikisha kuvunja ngome zote za upinzani na kuondoa makundi ndani ya chama
Ukoo wenu nyie ndio wanyonge basi ataongoza ukoo wenu wa wanyonge
 
Consistency gani wakati yeye hajapitia kwenye mamlaka kamili ili ateuliwe. Angine kwenye ushindani na makada wengine kama Mkapa , Kikwete na Magufuli walivyopitia. Achukue fomu kama wenzake
Sasa ww unapingana na katiba? Ingia na wewe uwe rais kama yeye aliingia kwa bahat mbaya .lengo ni kuwa rais haijarishi umeingia kwa njia gani lakin swala ni kuwa rais not other wise ,na ukishakuwa rais utamadun ni ule ule kumi ya kwanza baada ya hapo tunalazimisha aendelee atake asitake
 
Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.

Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.

View attachment 1818634
Khamisi mapikipiki toka ulivotimuliwa naona hata ufahamu umeanza kupotea.
 
Utampinga ww na nani? Acha kuhara minyoo hapa ,dozi lazima iwakolee kisawa sawa maana mlitaka magu aongezewe muda kisa mna maslah binafs Sasa kibao kimegeuka ,pumbavu zenu
Samia ni kitu kimoja na magu
 
Mbona bavicha mmepanic sana?

Kwani nyie hamtaki mama aende hadi 2030? Si mnademka humu kwamba yuko vizuri? Sasa kuna shida gani akienda hadi 2030?

Alafu nyie mwenyekiti wenu si kasma hamshiriki uchaguzi?
Bavicha hawana akili
 
Ana uhakika kuwa Mungu atamuweka huyo SSH na kuwa hai hiyo miaka aliyoitaja?
 
Sasa ww unapingana na katiba? Ingia na wewe uwe rais kama yeye aliingia kwa bahat mbaya .lengo ni kuwa rais haijarishi umeingia kwa njia gani lakin swala ni kuwa rais not other wise ,na ukishakuwa rais utamadun ni ule ule kumi ya kwanza baada ya hapo tunalazimisha aendelee atake asitake
Katiba ya nchi haijasema hivyo. Hata katiba ya chama haijasema hivyo onesha vifungu
 
Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.

Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.

View attachment 1818634
Kuna watu kwa ujinga wao na ubinafsi wa kujipendekeza uliopitiliza ndio wanaosababisha tusitoke hapa tulipo kama nchi. Atawale hadi 2030 kwani ana hati miliki au guarantee gani? Je wengine hawapo? Misingi ya democracy inarubusu mtu asipingwe?🚮🚮🚮🚮
 
Huyuhuyu Kigwangara Said Bagaile aliyetuletea sanamu feki ya J .K . Nyerere kule Burigi akidai ni ya baba wa taifa ?
 
Dr Kigwa naona kaanza kujipendejeza .....arudi kupiga giti JK ili aingizwe kwenye mtandao Mama ajili 2025....la sivyo hatoboi ubunge kura maoni huko nzega vijijini
 
Mbunge wa Nzega vijijini Dkt Hamis Kigwangalla leo wakati anachangia hotuba ya bajeti kuu ya serikali amesema rais Samia anatakiwa kupita bila kupingwa mwaka 2025 ili aendelee mpaka 2030.

Kigwangalla amesema atakayejaribu kumpinga ndani ya ccm na hata nje atakiona cha mtema kuni hasa ikizingatiwa kuwa Chadema walishatangaza kuwa hawatashiriki uchaguzi mkuu wa 2025 hivyo Lisu kuendelea kulelewa Ubelgiji.

View attachment 1818634
Naona wanaanza tena kumpangia Maulana. Subiri sasa atende ya kwake kwa mwanadamu wake
 
ila na sisi wananchi tubadilike. hivi kuna watu walikaa kabisa huko nzega wakaona hii bogus inafaa kuwa mbunge?
 
Consistency gani wakati yeye hajapitia kwenye mamlaka kamili ili ateuliwe. Angine kwenye ushindani na makada wengine kama Mkapa , Kikwete na Magufuli walivyopitia. Achukue fomu kama wenzake
Tulichoambiwa ni kwamba utamaduni wa CCM Rais hapingwi, haikusema "akiwa ameshashindana na wengine", hili la ushindani umelileta sasa hivi. Mbona kwenye uenyekiti halikuwepo? si alipewa tu kwa sababu ni Rais. Utamaduni uendelee.
 
Tulichoambiwa ni kwamba utamaduni wa CCM Rais hapingwi, haikusema "akiwa ameshashindana na wengine", hili la ushindani umelileta sasa hivi. Mbona kwenye uenyekiti halikuwepo? si alipewa tu kwa sababu ni Rais. Utamaduni uendelee.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom