Dkt. Kigwangalla: Rais Samia anaendelea mpaka mwaka 2030, watakaompinga kukiona

Hivi hawa watu wataacha lini uhuni? kwanini hawataki kujifunza kitu? Ni vyema wakawa watu wa kusali na kuomba hekima na busara ziwatale ili waweze kuchagua maneno ya kusema.
 
Huyu mwanamke hana kabisa akili, hata dikteta Magufuli pia mlisema hivyo hivyo hadi akashindwa kutawala muhula wake wa pili baada ya kuhujumu uchaguzi.

Sasa mmeanza tena kujipendekeza kwa huyu mama baada ya kuona maisha yamekuwa magumu mtafikiri nyie ndio mnatoa uhai. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom