MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
.........................
"Tumezidi kuisha serikalini,wengine wanapelekwa nje ya nchi.Sisi ni wengi katika wale wanaoitwa majipu,lkn katika wanaoteuliwa kama si wachache basi hatumo kabisa,ukichunguza ni kama huu utumbuaji majipu unatulenga sisi" ..limeandika Gazeti la Al-Huds likimnukuu Bwana Haji mfanyakazi wa serikali.
"Dr Dau angemalizia tu kipindi chake,ameitoa mbali toka NPF iliyokuwa taabani mpaka NSSF yenye miradi lukuki,ilikuwa apewe shirika au taasisi nyingine ya kuongoza hapa nchini ili awajibike kama alivyowajibika NSSF".
....
"Aliikuta NPF iliyotegemewa makato yasiyodaiwa ya "cane carters" ......................
Huu ndo ujinga usio mipaka na ambao hautakwisha kati yetu. Hata hivyo siyo muhimu sana maana nchi haiwezi kuongozwa kwa kumsikiliza kila mtu.
Watu kama hawa unawezaje kuwa quote? Tumezidi kuisha wapi. Anayesema hivyo anadhani muislamu akiwa sehemu naye yupo bila hata kujua kinachofanyika. Angekufa pia li jitu fulani lingesema tunakwisha. sijui pia lingelaumu nani kwa kufa.
Eti anaombewa amalize muda wake, muda gani aliopewa? Mkataba wa kazi yake ulikuwa unampa muda gani ktk nchi hii? rubbish! Soma tafuta ajira yako upate maisha yako badala ya kuvizia maisha ya waislamu wenzako.