Dkt. Dau afitinishwa na JPM

Dkt. Dau afitinishwa na JPM

Serikali haina nyie watu wa hayo magazeti, inaonekana mmekosa cha kuandika sasa mnaandika namba ya udini tu.
 
"Tumezidi kuisha serikalini,wengine wanapelekwa nje ya nchi.Sisi ni wengi katika wale wanaoitwa majipu,lkn katika wanaoteuliwa kama si wachache basi hatumo kabisa,ukichunguza ni kama huu utumbuaji majipu unatulenga sisi" ..limeandika Gazeti la Al-Huds likimnukuu Bwana Haji mfanyakazi wa serikali.

Hivi yule waziri wa habari yupo yupo?
Magazeti ya aina hii na watu waliowa nukuu wanastahili kudhibitisha madai yao! Kinyumne na hivyo huu ni uchochozi wa kidini na mbaya kuliko siasa majitaka!.


cc Dr.@FaizaFoxy
 
Waislamu wanajua haki zao na kuzipigania kadiri wawezavyo .Si wanafiki wasiporidika wanasema bila kuongopa.Wakristu wanafiki wasiporidhika husemea chini ya meza.Utawala ulipopita kulikuwa na ulalamishi mkubwa kwenye teuzi mbali mbali na wengi walidai waislam wamekuwa wakipendelewa lakini Hakuna aliyepinga kwenye gazeti si la dini wala la ki jamii.Utakuta wanalalamika lalamika kwa chini chini.Kwa waislam nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.Kwa hili huwa nawapongeza Sana.



Umenikumbusha ule msemo wa " a man brags of his own penis however tiny'.
 
Hivi ni kwa nini maislamu wanapenda kuona kuwa wanaonewa wakati wote?? Mbona sijawahi kusikia mkristo hata siku moja akilalamika kwnye mambo ya kipuuzi kama haya?

Hii dini ni janga jaman

Dini ni imani, inakwenda zaidi ya miili na ulimwengu huu tunaouona. Siyo sawa na ushabiki wa vilabu vya mipira ama itikadi za kisiasa. Ni maisha halisi na bahati mbaya ambayo yanaendelea hata baada ya mtu kufa hapa duniani.

Angalia sana. Dini zinauaasisi wake katika ulimwengu wa roho. Imani zinaongozwa kutoka dunia nyingine isiyopimwa kwa circular educations ama ideologies. Na ndiyo sababu serikali makini ni marufuku kuingiza mambo za imani katika serikali ambazo ni za watu wengi ili kila mtu akifa apaate alichokichagua kwa utashi wake bila kusema alilazimishwa na serikali. Kwa manatiki hiyo, usije kushangaa kwa sababu kila dini ina roho yake inayoitumikia na kuipa msukumo. Yanyoonekana hapa duniani ni dalili za wazi juu ya roho zinazoongoza haya maimani. Tazama, unategemea kwa mfano kupata kipi chema kwa watu waliokolea

kuabdu shetani ambaye kweli ni shetani, lakini wao wanamwita mungu na kwa kujua hana uwezo wako tayari kuvaa mabomu, kubeba mapanga na kuua watu kwa kumpigania mungu wao ambaye ni shetani. Kama ni Mungu kwa nini asijipiganie hadi alazike kulindwa kwa mapanga? Kichwa cha naman hii unategemea kina jema?

Pale ambapo watu wanafanya dhambi ya mauaji, uasherati, ubakaji, uwongo, ufiraji, usingiziaji huku wakikiri kwamba eti mungu wao ndiye anawatuma. na bado wanajihesabia haki wakiwa tayari kufa eti wakifa wataenda kuzimu wakaendeleze zinaa na uasherati!. Bado hawa ni watu wa kawaida?

Watu ambao wanahubiri amani huku wakiamini katika visasi, mauaji na kutokusameheana huku wakisingiziana kwa jina la mungu asiyejulikana, unategmea wana utu wa kuelewa lolote lile?

Unashangaa kuona leo watu wengine wanashangaa kuwa kuna majipu hata wanapoonyeshwa dhahiri hasara majipu hayo yamesabbisha kwa taifa lakini kwa kuwa ufahamu wao si wa binadamu hai, hawaeelewi.

Binadamu wa kawaida angeona hay akwa aibu zinazoibuliwa ambazo washiriki wakee wahahitajika kuwajibishwa. Lakni mtu asiye w akawaida, anaona wasiwajibishwe kwa kuwa wanafanana naye bila kuangalia wanawajibishwa kwa kosa lipi.

Mfano wa mtu mwingine anayewaza kinyume na binadamu ni yule anayepiga kelele kwamba nssf imestawi na ni imara wakati hali halisi ni kwamba shirika hilo liko hoi na bila akili linakwnda kufa.

Mtu pamoja na kuona wazi jinsi dini yake walilyobebwa kipindi kilichopita na walipolipeleka taifa ahdi sasa kilio kila mahala, bado analazimisha yael yale yaendelee. Naomba ujue si kila unayemwona kavaa makubasi ni binadamu.

Imani ni vitu tofauti. Acheni imani zibaki kwa watu lakini zisiingie serikali kwa sababu ni janga la dunia.
 
Dini ni imani, inakwenda zaidi ya miili na ulimwengu huu tunaouona. Siyo sawa na ushabiki wa vilabu vya mipira ama itikadi za kisiasa. Ni maisha halisi na bahati mbaya ambayo yanaendelea hata baada ya mtu kufa hapa duniani.

Angalia sana. Dini zinauaasisi wake katika ulimwengu wa roho. Imani zinaongozwa kutoka dunia nyingine isiyopimwa kwa circular educations ama ideologies. Na ndiyo sababu serikali makini ni marufuku kuingiza mambo za imani katika serikali ambazo ni za watu wengi ili kila mtu akifa apaate alichokichagua kwa utashi wake bila kusema alilazimishwa na serikali. Kwa manatiki hiyo, usije kushangaa kwa sababu kila dini ina roho yake inayoitumikia na kuipa msukumo. Yanyoonekana hapa duniani ni dalili za wazi juu ya roho zinazoongoza haya maimani. Tazama, unategemea kwa mfano kupata kipi chema kwa watu waliokolea

kuabdu shetani ambaye kweli ni shetani, lakini wao wanamwita mungu na kwa kujua hana uwezo wako tayari kuvaa mabomu, kubeba mapanga na kuua watu kwa kumpigania mungu wao ambaye ni shetani. Kama ni Mungu kwa nini asijipiganie hadi alazike kulindwa kwa mapanga? Kichwa cha naman hii unategemea kina jema?

Pale ambapo watu wanafanya dhambi ya mauaji, uasherati, ubakaji, uwongo, ufiraji, usingiziaji huku wakikiri kwamba eti mungu wao ndiye anawatuma. na bado wanajihesabia haki wakiwa tayari kufa eti wakifa wataenda kuzimu wakaendeleze zinaa na uasherati!. Bado hawa ni watu wa kawaida?

Watu ambao wanahubiri amani huku wakiamini katika visasi, mauaji na kutokusameheana huku wakisingiziana kwa jina la mungu asiyejulikana, unategmea wana utu wa kuelewa lolote lile?

Unashangaa kuona leo watu wengine wanashangaa kuwa kuna majipu hata wanapoonyeshwa dhahiri hasara majipu hayo yamesabbisha kwa taifa lakini kwa kuwa ufahamu wao si wa binadamu hai, hawaeelewi.

Binadamu wa kawaida angeona hay akwa aibu zinazoibuliwa ambazo washiriki wakee wahahitajika kuwajibishwa. Lakni mtu asiye w akawaida, anaona wasiwajibishwe kwa kuwa wanafanana naye bila kuangalia wanawajibishwa kwa kosa lipi.

Mfano wa mtu mwingine anayewaza kinyume na binadamu ni yule anayepiga kelele kwamba nssf imestawi na ni imara wakati hali halisi ni kwamba shirika hilo liko hoi na bila akili linakwnda kufa.

Mtu pamoja na kuona wazi jinsi dini yake walilyobebwa kipindi kilichopita na walipolipeleka taifa ahdi sasa kilio kila mahala, bado analazimisha yael yale yaendelee. Naomba ujue si kila unayemwona kavaa makubasi ni binadamu.

Imani ni vitu tofauti. Acheni imani zibaki kwa watu lakini zisiingie serikali kwa sababu ni janga la dunia.
Ndefu namna hii ,,

you should learn to samaraiz, seriously am speaking
 
Kwa hiyo majipu yatumbuliwe kwa kubalance dini enhee? Kwani, hawa manasara, katika kukwepa kodi bandarini na kuiba mafuta, wapo lakini hawajatumbuliwa?
 
Huo muda uliobaki akamalizie Saudi Arabia au Afghanistan eti kaitoa mbali nssf wamezoea kupeana kazi kwa kuangalia kanzu kama huvai kanzu na ninja nssf hata field hipati akafie mbali huyo gaidii
Tumeyaona kwa macho pale. Anaye mtetea Dau ana matatizo ya figo sio bure
 
Huo muda uliobaki akamalizie Saudi Arabia au Afghanistan eti kaitoa mbali nssf wamezoea kupeana kazi kwa kuangalia kanzu kama huvai kanzu na ninja nssf hata field hipati akafie mbali huyo gaidii

Dini ya Kiislamu ni nzuri haipendi chuki. Ila huyu Dr. Dau kiukweli hakuwa mwema kwa dini nyingine, familia yangu iliwahi kuumizwa na huyu Dr. Namshauri, abadilike na kuwa na upendo wa MUNGU. Aache kupanda mbegu za chuki kupitia dini. Tatizo sio Dini bali ni mtu mwenyewe alivyoamini na kufanya mambo yasiyoeleweka, na kupandikiza kwa wengine waweze kuchukiana na kuumizana. Ningependa Dr. Dau na wote tunaosoma hapa tuwe na UPENDO, TUPENDANE NA KUTHAMINIANA TUKIWA NDANI YA MAJINA YA KIISLAMU, KIKRISTO NA MENGINEYO. TUSICHUKIANE NA KUJAA MAASIRA YASIYO NA MAANA AU TIJA.
 
nssf full udini hili halina usiri ni wazi tembea ofisi zote ikifika ijumaa saa sita au saba hakuna mtu ofisini watarudi saa 8 na wachache tu .kwa hiyo mm ckuelewa ilikuwaje ikafikia hapo ofisi kuwa na 80% wtumishi nchi nzima waisalamu haiwezi tokea hivyo by coincidence bu intentinally and planned to be like that for this past ten years
 
nssf full udini hili halina usiri ni wazi tembea ofisi zote ikifika ijumaa saa sita au saba hakuna mtu ofisini watarudi saa 8 na wachache tu .kwa hiyo mm ckuelewa ilikuwaje ikafikia hapo ofisi kuwa na 80% wtumishi nchi nzima waisalamu haiwezi tokea hivyo by coincidence bu intentinally and planned to be like that for this past ten years

Sioni ubaya kwa watu wa dini moja kujaa kwenye taasisi moja hasa kama wana kidhi vigezo na wana perform vema. Tunacho kipinga ni CHUKI NA VISA kwa wengine. Mfano: ukimwona mtu wa dini ingine unamchukia na kumfanyizia au kumuonea bila ya sababu za msingi. Na kuwatengeneza wenzako waweze kuwachukia wengine na kuwaonea. Waislamu na Wakristo wa kweli tunawafahamu, ni WEMA NA WANA UPENDO (Dini ni nzuri na zina mafundisho mazuri sana). Hila hawa wanaopanda chuki na kujifanya eti ni wakristo au waislamu, hawana wema wala upendo. Hivyo hawana dini.
 
WAkristo mlipiga kelele sana kipindi cha Jk, na kila teuzi yake mlikuwa mnaijadili kiudini na si ki competence, acheni watu tufichue udini wa awami ya tano, angalia nafasi za uwaziri na makatibu wakuu, hazina kabisa sura ya kitaifa, ni udini mtupu!
 
View attachment 324013 View attachment 324014

Leo magazeti mawili ya "IMAAN" na "AL-HUDA" yamekuja na vichwa vya habari vinavyomuhusu aliyekuwa DG wa NSSF Dkt.Ramadhan Dau kuwa anaonewa na kufitinshwa kwa kuondolewa kwenye sherika hilo la hifadhi ya Jamii wakati alikuwa amebakia miaka michache tu astaafu.
Gazeti hilo linasema licha ya uteuzi wa Dr Dau kuelezwa kuwa una tija kwa Taifa na kuimarisha uhusiano wa Tz na nchi za nje,lkn umedunisha uwakilishi wa Waislamu katika utendaji wa serikali hapa nchini.
"Tumezidi kuisha serikalini,wengine wanapelekwa nje ya nchi.Sisi ni wengi katika wale wanaoitwa majipu,lkn katika wanaoteuliwa kama si wachache basi hatumo kabisa,ukichunguza ni kama huu utumbuaji majipu unatulenga sisi" ..limeandika Gazeti la Al-Huds likimnukuu Bwana Haji mfanyakazi wa serikali.

"Dr Dau angemalizia tu kipindi chake,ameitoa mbali toka NPF iliyokuwa taabani mpaka NSSF yenye miradi lukuki,ilikuwa apewe shirika au taasisi nyingine ya kuongoza hapa nchini ili awajibike kama alivyowajibika NSSF".Gazeti hilo limedai kama kumtumia kidiplomasia basi angetumiwa baada ya kustaafu lkn sio kumuondoa sasa,nafasi ambayo itakuwa ngumu kwa mtu mwingine kuziba pengo la Dr Dau,gazeti linaendelea kusema kuwa teuzi hiyo ni chuki dhidi ya imani fulani na kuwepo na hali ya kuimarisha mfumo ili imani fulani iendelee kuwa katika sehemu ya maamuzi.
"Aliikuta NPF iliyotegemewa makato yasiyodaiwa ya "cane carters" ambao walikuwa wafanyakazi wa muda wa viwanda vya sukari vikiwemo vikampuni na taasisi za watu binafsi,chini ya Dr Dau shirika lilifanikiwa kuwa na miradi mikubwa kama daraja la kisasa la Kigamboni,mradi wa makazi katika eneo la Dege Beach huko Kigamboni,mradi wa nyumba za Kiluvya,mradi wa nyumba za makazi za Mtoni Kijichi,Mradi wa kituo cha Michezo kwa Ushirikiano na Club ya Real Madrid na pia NSSF ilishiriki ktk ujenzi wa Chuo Kikuu Dodoma.Kutokana na ufanisi huu Rais Mkapa aliwahi mtunuku cheti cha usimamizi na utendaji bora ktk kipindi cha uongozi wake wa shirika hilo

Waziri Nape upo?
 
Majadiliano yanayoenda kwa misingi ya udini yanatia kinyaa na kuwachefua wote wanaolipenda Taifa letu.

Mimi binafsi sijaona hilo ambalo magazeti hayo yameandika. Matatizo ya nchi hii yanatukumba wote bila ya kututofautisha kidini au kikabili. Wanapoondolewa watu na kuteuliwa watu wengine ili kuboresha utendaji, tusianze kukimbilia kwenye mwavuli wa udini.

Sina hakika lakini mpaka sasa, watendaji mbalimbali walioondolewa, wengi wao wana majina ya kikristo. Nimesema 'majina' maana nchi hii waislam na wakristo ni wachache sana lakini wenye majina ya kikristo na ya kiislam ni wengi sana.

hiyo ya kusilim ili upate nafasi sio ukweli, mimi mwislam nilishaomba kazi mara nyingi NSSF lakini hata kwenye interview sijahitwa tena nina elimu ya kutosha
 
Majengo ya UDOM ni aibu. naona kilichokuwa kikitazamwa ni ukubwa wa chuo na uwingi wa majengo lakini ubora ulitupiliwa mbali.

Tulinganishe majengo ya UDOM na yale ya UDSM yaliyojengwa na Waisrael miaka mingi wakati Teknolojia haikuwa ya kiwango cha leo.

Dau hakupewa kazi NSSF kwasababu alikuwa muislam, alipewa hiyo kazi kwakudhaniwa kuwa angelinda fedha za wafanyakazi!!! Nenda UDOM ukaone quality ya majengo yaliyofadhiliwa na NSSF yalivyojengwa chini ya viwango; matokeo ya kuchukua 10% huku majengo yanapata nyufa ndani ya miaka miwili!!
 
Hivi ni kwa nini maislamu wanapenda kuona kuwa wanaonewa wakati wote?? Mbona sijawahi kusikia mkristo hata siku moja akilalamika kwnye mambo ya kipuuzi kama haya?

Hii dini ni janga jaman
Infiriority complex, walio wengi kichwani wamejaza mistari ya Elimu Ahela, kwahiyo suala lolote linalotakiwa itumike Elimu dunia kidogo wanakua kama watoto wadogo, ni kulialia tu, Nahisi wanatamani hata kungekua na Wizara ya kupambania maslahi yao.
 
Hili tulitegemea kwa serikali hii, alianza na Ndalichako , akafuatia Dr. Dau na anaefuatia ni Prof. Asad

cc Ritz, FaizaFoxy
 
Infiriority complex, walio wengi kichwani wamejaza mistari ya Elimu Ahela, kwahiyo suala lolote linalotakiwa itumike Elimu dunia kidogo wanakua kama watoto wadogo, ni kulialia tu, Nahisi wanatamani hata kungekua na Wizara ya kupambania maslahi yao.



Kuna watu watakuwa wanaumia sana kama yule mbeba box kule London Haruna Mbeyu ilikuwa kama sebuleni kwake hapo nssf kwenda kupiga soga tu.Keshapeleka vijana wengi sana wa imani yake hapo nssf kwa ajili ya ajira kisingizio wanabalance
 
Back
Top Bottom