Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Alijiwekea mipaka, ardhi ikasikia mbingu zikasikia na akilazimisha ndo bye bye.

Yuko wapi jiwe, ni lini jiwe liliishi, tamka tu kwa mdomo wako ardhi na mbingu itaviandika.

Hao wengine wanaokiri kuwa watoto wa masikini huku wamesoma ma PhD nao wanajiingiza kwenye hiyo hiyo njia.

Mama alikiri ... mimi ni rais,.... yes ardhi na mbingu vimeandika hayo, and she will be.
 
...mmmm Laiti mdomo wangu ungesema ' Nitatembelewa na Shilingi Milioni kadhaa', halafu ukayaumba hayo maneno kuwa Kweli kwa Utaratibu wa ' Maneno huumba!' .....
 
...mmmm Laiti mdomo wangu ungesema ' Nitatembelewa na Shilingi Milioni kadhaa', halafu ukayaumba hayo maneno kuwa Kweli kwa Utaratibu wa ' Maneno huumba!' .....
Kuna vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu...

 
Bashiru alichofanya alipokua katibu mkuu Ni kutafuta maadui, sidhani Kama alitengeneza hata marafiki kumi. Akiwa kwenye lile viieite ya kijani ulikua ukimtizama unaweza kudhani haendi chooni.

This world bwana. Bashiru huyu huyu ndio wa kumtia adabu Yusufu Makamba na Kinana? Hivi Bashiru kiburi kile ulikitoa wapi na Sasa uko wapi?

Sasa ndio utajua ulikua huijui CCM. Makamba alikua mkuu wa wila wewe kipindi hicho hata boxer hujaanza kuvaa.? Leo unamuita Makamba umtie discipline...??))+&_$##
 
Sisi wanyonge hii ndiyo furaha yetu kusikia aliye juu kashushwa kwa spid ya mpira wa gozi.

Au nasema uongo ndugu mnyonge mwandamizi?
Panda kwa juhudi zako.

Ukipandishwa Kama mbuzi juu ya roli

Waliokupandisha wakikuchoka wanakushusha tu. ❌❌❌❌
 
Bashiru mwezi wa 2 alikuwa anaishi nyumba ya Katibu mkuu CCM ya chama, mwezi wa 3 akahamia nyumba ya Katibu mkuu kiongozi na leo anahamia nyumbani kwake Msewe barabara ya chuo kikuu😂😂😂

Hakika huu ni utalii wa ndani.🚶🚶🚶
 
Mbona kakubali kuteuliwa kua Mbunge sii angekataa...

Ndiyo tatizo la kumtegemea binadamu mwenzako...
 
Kimwili alionekana Yuko pale, kiroho alikuwa hayupo maana haikuwa nafasi yake; kweli Mshana Jr. Umenena hakika.
 
Back
Top Bottom