You are dreaming my dear brother.Kufuatia kugogo na baadhi ya Chadema wenye wivu kuwashambulia mawaziri waliowaita kuwa ni Sukuma gang na walikuwa wakimpangia rais Samia awatumbue wote, ndoto zao zimeenda kinyume kwani wameendelea kupeta wote na wako tayari kuwanyiosha mafisadi kuanzia wezi wa dawa hadi wezi wa kodi za wananchi.
Sukuma gang ndiyo waliorejesha nchi hii kwenye msitari kwa sababu wana msimamo na akili nyingi .
Sukuma gang they can command respect kitu ambacho wenzetu wa milimani na midundiko hawawezi.
Naomba nami niwepo siku ya kafara hiyo,.. naweza pata hata "kichwa cha manyama" 😁😁Lazima afanye hivi kuna kafara lake naweza kumsaidia...kafara la kutengua kauli au kiapo![]()
Maneno huumba uhalisia.. Ndio maana Waswahel husema MDOMO KOMA..na kutema mate chini kama ishara ya kuyatema aliyotamka ...kutema pia kuna ishara na maana ya kukana, kufisha na kuzikaHata Magufuli alijiombea Sana kifo kwa mdomo wake.
Oh yeah,.😋Hahaahaa ...utaacha watu waanze kuweka oda hata za visivyotamkika...
Hiyo inaitwa 69Katibu mkuu wa chama -> Katibu Mkuu Kiongozi -> mbunge wa viti maalum
Mliosoma sayansi hii graph inaitwaje?
Kafara upende kulisikia kwenye redio tu ndugu yangu.Naomba nami niwepo siku ya kafara hiyo,.. naweza pata hata "kichwa cha manyama" 😁😁