Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,454
- 10,755
Lakini hadhi yake imeshuka vibaya sana. Pesa sio heshima.Mwenzio baada ya miaka 4 anakunja 300m, wewe endelea kuchunga mbuzi mkuu
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Lakini hadhi yake imeshuka vibaya sana. Pesa sio heshima.Mwenzio baada ya miaka 4 anakunja 300m, wewe endelea kuchunga mbuzi mkuu
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
True.Lakini hadhi yake imeshuka vibaya sana. Pesa sio heshima.
Uko nyuma sana!Kwani kuna nini hapa Kati yake na Gekul? Maana naona watu wanamsema.sana tujuzane
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hadhi imeshuka sana, hata akiwa bungeni sizani kama atachangamka, aanze kujirudisha alikotoka chuoniLakini hadhi yake imeshuka vibaya sana. Pesa sio heshima.
Ndiyo sijui mkuu nimekuja juzi tu toka mkoani huko mashambaniuko nyuma sana !
Ule wadhifa mkuu, kuwa katibu wa chama kama sisiem si mchezo, wale bungeni mpaka kuingia kwenye kinyang'anyilo katibu anahusika sana, huoni alivyokuwa akienda.ziara anavyopokelewa sahizi wapi kwa fungu la nani na kufanya nini?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Acha bange wewe, unaifahamu posho ya KMK? "Supika" mwenyewe alikiri jamaa alipoteana baada ya maamuzi yale ya Mama Samia, wewe ni nani upinge?Posho za ubunge unazijua?
Acha bange wewe, unaifahamu posho ya KMK? "Supika" mwenyewe alikiri jamaa alipoteana baada ya maamuzi yale ya Mama Samia, wewe ni nani upinge?
Maneno ya wanafiki sasa
Bashiru Ally Uliuanza mwendo wa Siasa kwa kuwa mchambuzi mahili, mwenye Maono ya nchi yako, hakika hakusita Rais wa awamu ya Tano Baba yetu Hayati Dkt MAGUFULI kukuteua kufanya tathmini na ukaguzi wa mali za Chama CCM, ulifanya kwa uadilifu mkubwa na uaminifu.
Kazi ulipiga





Nimekuelewa MshanaMuwe mnasoma na kuelewa kitu kabla hamjachangia...
Hi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu .....
Zingatia MAMBO MAKUBWA KWENYE MAZUNGUMZO YETU... Si kila uliwazalo ama ulitakalo huwa....!!!!
Alichanganyikiwa auAcha bange wewe, unaifahamu posho ya KMK? "Supika" mwenyewe alikiri jamaa alipoteana baada ya maamuzi yale ya Mama Samia, wewe ni nani upinge?
SwadaktaaaHi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu
Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA
Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!
Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.
Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.
Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.
Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!
View attachment 1741824
Kutoka kuwa KMK hadi kuwa mbunge wa viti maalum kama akina Mzee Mdee ni demotion kubwa saaaana,yaani hapo anazidiwa hata na Kibajaji kwani yupo pale kwa hisani ya mtu mmoja tu.Atarudi kwenye ukatibu mkuu sisiemu lakini alipaswa awe demoted kabisa kabisa arudi udsm kumark course work za wanafunzi
Hapo 'pande zote mbili' ni fumbo ndani ya fumboNdugu Mshana Jr una upeo mkubwa sana wa mambo ya kiroho kwa pande zote mbili.
Duh !Kweli maisha funzo
Daaah bashiru kajambaa kwenye Maji.
Lakini hamzidi nguli wa makafara br. Kigwah
Mwenye macho haambiwi tazama,bado yupo anajisikiliziaAliye karibu na bashiru atujuze hali yake inaendeleaje huko??