Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.

Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.

View attachment 1745669
Kiukweli huyu jamaa kwa sasa anahitaji msaada ya kisaikolojia. Yaani haiwezekani ndani ya Wiki 4 tu ametoka Masaki kwenye nyumba za Chama na magari pamoja na Walinzi wa Chama. Ghafla akaenda Ikulu kwenye Kiyoyozi, TISS, magari na kila aina ya starehe za kodi za wananchi ghafla anashuhuria kuapishwa kwa Makamu then anarud tena kule alikotoka.

Embu fikiria wale wote ambao alikuwa anawasagia kunguni na bahati nzuri yeye anawajua na wanamjua kwa kifup wanajuana atawaangaliaje? Sio hao tu, zile starehe ambazo amezipata tangu 2018 na zile wiki 4 jinsi anavyozikumbuka!

Bashiru, baada ya miaka hii mitano tutamsahau kabisa kwneye Siasa kwa sababu hatakuwa na uwezo wa kugombea kwenye jimbo na hatapewa chochote kile, ukweli mchungu.


Funzo: Tuishi vizuri na watu bila kujali hali za kimaisha, hatuijui kesho yetu.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
ila wewe jamaa mambo yako 🤣 🤣 🤣 .

Naomba tuvunje yale makubaliano yetu twende sambamba Mkuu.
 
Mbowe anacheo gani cha kumfanya apate sifa ya kuzungumziwa?
Tunazungumzia wanaolipwa fedha za walipa kodi.
Kamanda in chief

Mwenyekiti wa maisha;

Kamanda wa Anga;

Hivyo havitoshi ??
 
Ukiangalia sura ya jamaa hata leo akitumbuliwa ukatibu uenezi hawezi shituka,. Ila bashiru ndio bado aamini kuwa amelamba galasa, ila dawa itamuingia kidogo kidogo...
Hiyo inaitwa kutesa kwa zamu
 
Huyu mjamaa haelewi nchi inakopelekwa kwa sasa GPS navigation system inasema rudi nyuma njia tumeiacha, rudi, lakini dereva sijui ndio K vant anakanyaga mafuta mpaka Gps inakata mafuta yani haisomi tena!..
Wakale majanga na ndugu zake
 
Back
Top Bottom