Vieiitii nakuona mamaWeka na ya Mbowe akiwa Dubai.
Alio wanunua wamekuwa mawazirJamaa kapewa bonge la dimosheni! Sasa hivi yupo sawa na Kibaji, babu Tale, msukuma, Jah pipo .....! Atazoea tu
Viti maalum,
Dr. hana raha kabisa.Hajui anamwakilisha nani mjengoni!
Siku moja atasimama kama shujaa! Siku moja aibu yake ya sasa itafutwa!
Na ndo mtu aliyeumia zaidi kuliko hata watoto kwa kifo cha MaguKati ya watu wanao sikitika sana kwa kuja kwa corona hapa nchini basi ni huyu
Hhahahahahaha nimecheka mno..hahaaa kuna mtu alisema juz huyu kazi yake kuuliza maswali ya nyongeza jaman nilichekaaaaa🤣🤣🤣Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dkt. Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.
ahhahahahahahahaa jamani spare my ribsKati ya watu wanao sikitika sana kwa kuja kwa corona hapa nchini basi ni huyu
😄😄 Ungeandika hivi "Dkt.Bashiru akiwa anafuatilia JAMBO bungeni kwa UMAKINI zaidi😂😂Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dkt. Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.