Wakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669
Mmawia ni mtu gani?Kafedheheshwa sana
Watu wanitaga kuwa MAJUTO NI MJUKUU
Msemakweli Ni Mpenzi Wa Mungu.Haha nasema ukweri kutoka moyoni Bashiru anafuraha kweri-kweri
hata sijui,nduguMmawia ni mtu gani?
Jamaa kapewa bonge la dimosheni! Sasa hivi yupo sawa na Kibaji, babu Tale, msukuma, Jah pipo .....! Atazoea tuWakuu wale wanao jua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya bunge ukifuatilia bunge linavyo enda.View attachment 1745669