ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,048
- 6,199
TwakusubiriWeka na ya Mbowe akiwa Dubai.
TwakusubiriWeka na ya Mbowe akiwa Dubai.
Kama msikilizajiWakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.
View attachment 1745669
MaweniWe fala chatto ndio wapi?
Kwa kipindi cha Magu wenye bahati unayoisema wako wengi sana ila walijisahau sana ndio akina makonda, Ally happy nkBashiru ni mtu mwenye bahati sana katika siasa amepata mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi sana
Kama Mdee na Covid 19Nae ni mwakilishi wa wananchi?
DeKutoka katibu mkuu wa chama mpaka mbunge sijui alichukua lift gani.
Huu ni utoto kua bana....Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.
View attachment 1745669
Hana Jimbo huyo mwamba.
Ukiangalia sura ya jamaa hata leo akitumbuliwa ukatibu uenezi hawezi shituka,. Ila bashiru ndio bado aamini kuwa amelamba galasa, ila dawa itamuingia kidogo kidogo.Kutoka kampeni meneja tu katibu tarafa![]()
Huyu mjamaa haelewi nchi inakopelekwa kwa sasa GPS navigation system inasema rudi nyuma njia tumeiacha, rudi, lakini dereva sijui ndio K vant anakanyaga mafuta mpaka Gps inakata mafuta yani haisomi tena!Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.
View attachment 1745669
Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.
Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.
View attachment 1745669