Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Amepigwa comeback ya kisanga kutoka kuapishwa ubalozi sijui katibu kiongozi mpaka uchimba chumvi ni hatari mno Mazee huyo jamaa kuendelea kukomaa bungeni ni kiboko aisee sema akwende zake huko walikua wanaongea chochote na slow slow wake mpaka eti alinunua ubao kupiga hesabu za tofauti ya trillion 1.5 yaani wanatuona sisi makolo kweli...
Hapo ndiyo tujue sasa kuwa Mungu yupo hai muda wote kuwalinda viumbe wake.

Hapo alipo ndiyo analipwa kwa aliyo yafanya kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Bado Polepole naye asubirie adhabu yake inakuja kwa maneno yake ya shobo kwa watanzania kisa anatembelea viii eightiiiii
 
Tamaa ilimuua mzee fisi!
Mtaka mawili moja humponyoka! (au huponyokwa na yote 😀 )
 
Weka na ya Mbowe akiwa Dubai.
Lioneni hili CHOKO la Lumumba nalo, likilala Mbowe likiamka CHADEMA.
Kwani Samia amemteua Mbowe kwenda Dubai...?! Watoto sio riziki mnasumbua sana humu.
 
Lioneni hili CHOKO la Lumumba nalo, likilala Mbowe likiamka CHADEMA.
Kwani Samia amemteua Mbowe kwenda Dubai...?! Watoto sio riziki mnasumbua sana humu.
Hiyo ndio picha ya Mbowe??
 
Back
Top Bottom