Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Dkt. Bashiru akiwa Bungeni

Ukweri X
Ukweli ✓
Ana furaha X
Hana furaha ✓
Kiswahili cha Dot Com Ni shiiiiida!

Punguza ujinga wako we mzee!

Wewe kwa akili yako unadhani hafahamu alichokiandika.?

Unakosoa wakati huo huo wewe mwenyewe ni kiazi kibichi. "Ni shiiiiiida" ndio lugha gani.?
 
Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.

Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.

View attachment 1745669
Huyu
Wakuu wale wanaojua kutafsiri habari picha naomba tusomee hiyo picha.

Dr Bashiru anaonekana akiwa ndani ya Bunge ukifuatilia bunge linavyoenda.

View attachment 1745669
Huyu jamaa wanaweza kujinyonga amekata tamaa anaona malipo yadhambi zake yanamjia kwa kasi😆😆😆😅 roho za watu zinamlilia
 
Huwa mnatuambia role model wenu kwa democrace ni USA, UK, SWEDEN ETC. Sasa najiuliza je huko wanakuwaga na mipasho na kejeli kama hizi?
Yaani huwa na husuda mpaka kwa marehem!
Sasa huyu Bashiru:, ni mtu ambaye anakula marupurupu ya ukatibu mkuu wa CCM, Ukatibu mkuu kiongozi japo kwa siku 33, Ubalozi, na bado ana kinuwa mgongo cha UDSM - Na kumbuka hapo ameisha hakikishiwa hela za bunge. Ya kila sitting na akiwa kwenye zile Kamati zake! Na mwisho kiinua mgongo cha ubunge! Je! Unaweza kujilinganisha na mtu huyo? Mpende mchukie hamumuwezi ameisha tangulia kwa muda mfupi tu! Acha husuda. Akipewa kazi Bashiru, anafanya kazi hiyo kwa kiwango cha juu sana - kazi yoyote hata ikiwa ni umesenger! Anauwezo mkubwa wa kupanga, kuongoza na kupata matokeo ambao huwezi kumuondelea kichwani.

De
Mkuu umeelewa kinachojadiliwa kweli?? Kwani Bashiru kafananishwa na nani? Watu kama nyie ndiyo huwa waumini wa manabii feki kama Gwajiboy na yule wa liva saidiii.
 
Ukiona mafanikio ya mtu, pesa, mali au ukaribu wake na watu flani unambadilisha tabia yake na ujue kabisa huyo mtu hafai
Ikiwa hivyo basi na mama nae hafai cz kaonyesha wazi kubadilika kutoka kwenye misimamo yake ya kwanza and nw time unaweza kudhani hakuwepo kabisa
 
Ukiona mafanikio ya mtu, pesa, mali au ukaribu wake na watu flani unambadilisha tabia yake na ujue kabisa huyo mtu hafai
Leo hii unamgeuka tena kipenzi chenu wana sukuma gang?
 
Msela wake mzee wa mavieite naona kashakubaki kwenda na mdundo wa maza kishingo upande,.Hata ukatibu tarafa anaweza kuupokea kwa mikono miwili na kicheko juu
Kumbe nasikia naye yupo kwenye sukuma gang
 
Jamaa kapewa bonge la dimosheni! Sasa hivi yupo sawa na Kibaji, babu Tale, msukuma, Jah pipo .....! Atazoea tu
Ingekuwa ni muadilifu kabisa kabisa basi angewachana na mambo ya siasa .
 
Huyu mtu anahitaji tiba ya kisaikolojia mapema sana kabla hatujasikia mengine
Hatutakuwa na machungu kwake maana alichotufanyia kwenye uchaguzi Mungu anajua
 
Back
Top Bottom