Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,494
- 37,786
Mmachame mbea hivi? Au kazaliwa Kisarawe?Ni mmachame!
Mmachame mbea hivi? Au kazaliwa Kisarawe?Ni mmachame!
Kule Tanga hizi ni lugha za kawaida kabisa bwashee!Kweli elimu yetu imeshuka sana, kauli kama hizi za kitaarab hazitegemewi kutoka kwa msemajii wa serikali mwenye Phd
BOT mkuu! 😇Unafanyakazi Idara gani ili tukusaidie mkuu
BOT haina mfumo wa mishahara wa serikali wewe muongo!BOT mkuu! 😇
Vijembe ndiyo lugha pekee wanayoielewa chadema, bila kupigwa vijembe inakuwa ni sawa na kummulikia kipofu.Imekuwa Serikali ya vijembe
Kwani alikuwa anaongea na watanga au watanganyika?Kule Tanga hizi ni lugha za kawaida kabisa bwashee!
SureWananamsikiliza wenzake sawa na kuisikiliza tbc au uhuru radio
Jamaa alisikia kwenye kundi lake la watsap akishadadia kwamba lazima mungu magu aongezewe muda. Mpumbavu huyu AbasImekuwa Serikali ya vijembe
Eti? Umesema?Wala usiwaze Sana kwa Hilo kwani Arusha bado inaongozwa na chadema!
Narudisha kipasa sauti lumumba kwako johnthebapist!
Wewe umesema, heri mimi sijasema.Ni kweli wamewekeza kwenye afya ndio maana viongozi wanaenda kutibiwa Kenya.