zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Dr Ulimboka tayari kasha tishiwa anyamaze la sivyo?!!...... utaona hii kesi ndiyo imeisha hakuna maswali!
Katishiwa au kala kichapo, umeshasahau mara hii?
Dr Ulimboka tayari kasha tishiwa anyamaze la sivyo?!!...... utaona hii kesi ndiyo imeisha hakuna maswali!
WEWE MUNGU NA HARDSHIP ALLOWANCE WAPI NA WAPI?..unatumia mistari ya mungu kuhalalisha mauaji ya wagonjwa wasio na hatia?
Huyu naye angetulia zake tu huko aliko ili asilianzishe lingine litakalowaudhi watesi wake.
Kwa sasa anachoweza kufanya cha busara ni kumshukuru Mungu tu kwa kumponya na kifo ambacho kilikuwa dhahiri.
Unless ana hamu ya kumalizwa moja kwa moja, jambo la muhimu kwake kwa sasa ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine.
Ritz inaelekea hii thread inakunyima usingizi kabisa. Naona kila page ina michango yako kati ya nne na sita. Tafuta walau muda wako binafsi wa kupumzika badala ya kupata pressure humu JF. Kama humpendi Ulimboka si ungesema wazi na yale ya moyoni unayomuombea badala ya kujifanya unamtetea wakati tunajua uliyosema alipotoka mstu wa pande mzima.
hapo kwenye red ulimanisha nini???Mr. Zero,
Naona comment zangu zimekuchoma sana naona unaangaika ku-copy...mkuu hujue JF kuna hansard ebu weka maneno yangu yeyote ambayo nimefurahi Dr Ulimboka kutekwa ukiweka mie na najitoa JF na usipoweka nakuweka kwenye kundi la Vapour...na nitakutuku PhD ya Umbeya.
hapo kwenye red ulimanisha nini???
Kitu kilichotokea Dr.Ullimboka maadui zake sasa hivi wako kwenye mazungumzo nae ndio maana analeta siasa hataki kueleza kilichomtokea usishangae asieleze kabisa au akaeleza story tofauti na ile ya mwanahalisi.Manake maadui zake wanaweza kumweleza bwana samehe yale yalikuwa ni matatizo ya kiufundi wakampa shavu akatulia zake kimya.Ndio maana ameanza kuleta porojo.
Manake hili neno:Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi... limepigwa kiufundi sio ajabu ameambiwa aliseme ili kunarrow ushaidi.
Huyu Uli nae anazidisha kiza ,si ajabu yakaishia kwenye horizon na kutoweka kwenye thin air !
Hakuna wa kuogopwa zaidi ya Mungu,nidhamu ya uoga na kumsujudia mwanadamu mwenzako ni mbaya na dhambi mbele ya Mungu,walishashindwa kumuangamiza mara ya kwanza sasa ni zamu yao kupata pigo takatifu ambalo familia zao hawataka kuja kusahau
Katishiwa au kala kichapo, umeshasahau mara hii?
Yep...alikula kichapo ila aliporudi toka SA nadhani alitishiwa
Ritz inaelekea hii thread inakunyima usingizi kabisa. Naona kila page ina michango yako kati ya nne na sita. Tafuta walau muda wako binafsi wa kupumzika badala ya kupata pressure humu JF. Kama humpendi Ulimboka si ungesema wazi na yale ya moyoni unayomuombea badala ya kujifanya unamtetea wakati tunajua uliyosema alipotoka mstu wa pande mzima.