Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Hivi we kiumbe unatoka pori gani? Natamani nikuone live maana mawazo yako mara zote yanatisha!! Sijui unafananaje maana hata jini lina logic fulani. Lakini wewe... ka!!!!!

Aha ha ha ha ha ha...kijana naona pointi za jamaa zimekutouch hasa...dah ,angalia tu usije pata pressure maana jamaa anahit point hadi watu wanago crazy.
 
Pimzika ulimboka usianze kukimbilia kwenye media kumbuka mabwe pande bado kupo hawajaanza kufuga nyuki kule.....
 
Dr Ulimboka, kaishasema muacheni apumzike ukweli anaujuwa yeye mwenyewe ikifika muda nitayasema yote yalionitokea na kwa utaratibu maalumu si kama hivi mnavyotaka nyie, kila mtu ananiuliza halafu mnakwenda kuandika ya kwenu, naona imekuwa biashara...haya maneneo ya Dr Ulimboka, anaendelea kufunguka anasema anavilaumu baadhi ya vyombo vya habari kuandika habari ambazo si za kweli kuhusu suala la kutekwa na kwake anasema wamekuwa wakipotosha ukweli...hapa analielezea gazeti la udaku la Mwanahalisi...R.I.P
 
Cha kushangaza kuna kundi la Pro-Chadema linalazimisha Dr Ulimboka afuate maelezo ya gazeti la Mwanahalisi kama ushahidi kinyume na hapo wanasema eti kanunuliwa...yeye ndio katekwa, kateswa, kapigwa kafanyiwa, na ndio anajua uchungu aliyofanyiwa, halafu wanakuja wana siasa wakiongozwa na Saidi Kubenea, wanajifanya wao ndio wasemaji wa Dr Ulimboka, Kubenea, ulivyomwagiwa tindikali nani alikuwa msemaji wako...msitake kumtumia Dr Ulimboka, maslahi yenu.
 
Dr Ulimboka tayari kasha tishiwa anyamaze la sivyo?!!...... utaona hii kesi ndiyo imeisha hakuna maswali!
 
Mtu yupo mahututi hospital anapumulia mashine, anakuja mtu ambaye hata hawajuani anajifanya anamjua sana Dr Ulimboka nakuanza kuandika waliomteka Dr Ulimboka ni hawa hapo majina yao ni haya pamoja na namba za simu hizi hapa zingine zilishiwa salio saa usiku...unakwenda kwenye TV unazidi kuropoka, bahati Mungu kamjalia Dr Ulimboka kapona karudi salama yeye ndio atatueleza ukweli.
 
Nyie hamjamuelewa DR Ulimboka anachosema yeye ni kwamba hata Mwanahalisi halijui kilichomtokea.
 
Dr Ulimboka tayari kasha tishiwa anyamaze la sivyo?!!...... utaona hii kesi ndiyo imeisha hakuna maswali!

Hawa ndio katika lile kundi la Mwahalisi wanalazimisha Dr Ulimboka aseme wanavyotaka wao.
 
Kwanini Chadema wanakuwa matumbo joto sana na swala hili la Dr Ulimboka ?
 
Nyie hamjamuelewa DR Ulimboka anachosema yeye ni kwamba hata Mwanahalisi halijui kilichomtokea.

Sasa mbona Mwanahalisi imetoa mpaka picha za watu na kusema hawa ndio waliomteka Dr Ulimboka.
 
Cha kushangaza kuna kundi la Pro-Chadema linalazimisha Dr Ulimboka afuate maelezo ya gazeti la Mwanahalisi kama ushahidi kinyume na hapo wanasema eti kanunuliwa...yeye ndio katekwa, kateswa, kapigwa kafanyiwa, na ndio anajua uchungu aliyofanyiwa, halafu wanakuja wana siasa wakiongozwa na Saidi Kubenea, wanajifanya wao ndio wasemaji wa Dr Ulimboka, Kubenea, ulivyomwagiwa tindikali nani alikuwa msemaji wako...msitake kumtumia Dr Ulimboka, maslahi yenu.

Lakini babangu bila maelezo ya Ully kufanana na ya mwanahalisi .movement for change yetu na pipopawa itakua ni bure.haitafikia malengo .NA JUHUDI ZITAKUA ZIMEPOTEA BURE.NA PESA TULIZOWEKEZA KWENYE PROJECT HII.
Ulimboka statement must collaborate with mwanahalisi come hell or highwater.
 
,

mwingine aliyeungana na msimamo huo ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa ambaye aliitaka Idara ya Usalama wa Taifa pamoja na serikali ithibitishe hadharani juu ya mtu anayetajwa kuhusika na tukio hilo.

Dk. Slaa alisema chama chake kitaanzisha harakati za kutaka kujua ukweli wa nani anahusika kumteka Dk. Ulimboka. Mwanzoni mwa wiki, Dk. Ulimboka alirejea kwa kishindo nchini kutoka Afrika Kusini alikokuwa anatibiwa, na kusema yupo tayari kuendeleza mapambano na kazi baada ya kupona kabisa. Dk. Ulimboka alikwenda Afrika Kusini Juni 30 mwaka huu kwa ajili ya matibabu baada ya kutekwa, kupigwa na kutelekezwa kwenye msitu wa Pande nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Juni 27, 2012.

Naona imekaa kisiasa zaidi ina maana huyu Dr. alikuwa ni Dk. wa chadema au ni mtabibu wa WTZ wote?????????
 
Kwanini Chadema wanakuwa matumbo joto sana na swala hili la Dr Ulimboka ?

Sijui kwa nini hata jana bungeni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe analalamika kwa nini Mwanahalisi limefungiwa.
 
Sasa mbona Mwanahalisi imetoa mpaka picha za watu na kusema hawa ndio waliomteka Dr Ulimboka.

Hao si ndio wale vimbelembele waliofikiria Dr Ulimboka atakufa ili tuamini story zao.

Ndio maana limefungiwa hilo gazeti kwa kuandika udaku.
 
Lakini babangu bila maelezo ya Ully kufanana na ya mwanahalisi .movement for change yetu na pipopawa itakua ni bure.haitafikia malengo .NA JUHUDI ZITAKUA ZIMEPOTEA BURE.NA PESA TULIZOWEKEZA KWENYE PROJECT HII.
Ulimboka statement must collaborate with mwanahalisi come hell or highwater.

Ndio shida ya ku invest kwenye migomo badala ya ku invest kwenye sera.
 
Mi najiuliza!!!! hivi kwa nini hakuja kisiri siri tu ili kuepuka usumbufu?? Au nae alitaka usumbufu na kujenga jina??? Maana angeweza kuja kimya kimya na kufanya suprize na wala asingeishi maisha anayoishi leo........
Nasubili video
 
Mi najiuliza!!!! hivi kwa nini hakuja kisiri siri tu ili kuepuka usumbufu?? Au nae alitaka usumbufu na kujenga jina??? Maana angeweza kuja kimya kimya na kufanya suprize na wala asingeishi maisha anayoishi leo........
Nasubili video

Ameshakuwa mwanasiasa tayari...
 
Dr Ulimboka, kaishasema muacheni apumzike ukweli anaujuwa yeye mwenyewe ikifika muda nitayasema yote yalionitokea na kwa utaratibu maalumu si kama hivi mnavyotaka nyie, kila mtu ananiuliza halafu mnakwenda kuandika ya kwenu, naona imekuwa biashara...haya maneneo ya Dr Ulimboka, anaendelea kufunguka anasema anavilaumu baadhi ya vyombo vya habari kuandika habari ambazo si za kweli kuhusu suala la kutekwa na kwake anasema wamekuwa wakipotosha ukweli...hapa analielezea gazeti la udaku la Mwanahalisi...R.I.P

KAKA
Mbona umelikomalia sana mwanahalisi? limeingilia maslahi yako nini? maana kikawaida chombo chochote kinachosema ukweli huwa akipendwi.maana mwanahalisi imetumia mawasiliano ya muhusika na kupata data zake kutoka daftari la wapiga kura,sasa kosa lao lipo wapi mwanahalisi?
 
Back
Top Bottom