Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Sasa mbona Mwanahalisi imetoa mpaka picha za watu na kusema hawa ndio waliomteka Dr Ulimboka.

mwanahalisi imetumia namba za simu zilizotumika dakika za mwishoni kabla ya kutekwa kwa Dr ULI
na baada ya kupata namba hizo wakaenda ktk mitandao ya simu na kutambuwa nani wamiliki wa namba hizo za simu na baada ya kupata wamiliki hao wakaenda ktk daftari la wapiga kura ili kupata information za hao wanao fikiriwa kufanya utesaji huo na mwisho wa siku mwanahalisi likaja na hitimisho,kwa upande wangu nawapongeza waandishi kwani angarau wamejaribu kuonyesha njia,kuliko sisi tuliobaki tukipiga domo tu humu
 
Huyu naye angetulia zake tu huko aliko ili asilianzishe lingine litakalowaudhi watesi wake.

Kwa sasa anachoweza kufanya cha busara ni kumshukuru Mungu tu kwa kumponya na kifo ambacho kilikuwa dhahiri.

Unless ana hamu ya kumalizwa moja kwa moja, jambo la muhimu kwake kwa sasa ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine.


Radhia Sweety,

Mbona huongei kama sweety vile? Dr.Ulimboka ni mwathirika na shahidi No.1 katika kesi hii ambayo tayari iko Mahakamani. Hataweza kutulia au kunyamaza hata kidogo mpaka ukweli wa jambo hili utakapowekwa bayana.
 
Namba za simu za mwisho kuwasiliana na simu ya ully sio conclusive evidence kwamba wenye simu hiyo ndo mhusika na kama ni mhusika atakuwa ***** sana kuwasiliana na mlengwa wake kabla haja mteka .kwani angejua kuwa anaweza kujipalia makaa.
Na haiondoi uwezekano wa hii story kupikwa na mwanahalisi.ni mpaka pale kina ulimboka,rama,na nzoka watakapoweka statement zao ndo tutajua What realy happened.
 
Ritz, naona ulipendezwa sana na tukio la Utekaji sababu naona unashabikia vitu vya kipuuzwi zinazotumiwa na jeshi lako lisilo na uwezo wa kupeleleza mambo na kupata ukweli.
 
KAKA
Mbona umelikomalia sana mwanahalisi? limeingilia maslahi yako nini? maana kikawaida chombo chochote kinachosema ukweli huwa akipendwi.maana mwanahalisi imetumia mawasiliano ya muhusika na kupata data zake kutoka daftari la wapiga kura,sasa kosa lao lipo wapi mwanahalisi?

Kaka,
Na wewe mbona unalitetea sana Mwanahalisi una maslahi nalo...kama Mwanahalisi wamesema kweli kama unavyotaka kutuaminisha kwa nini Dr Ulimboka, hautambui uchunguzi wa Mwanahalisi.
 
Kitu kilichotokea Dr.Ullimboka maadui zake sasa hivi wako kwenye mazungumzo nae ndio maana analeta siasa hataki kueleza kilichomtokea usishangae asieleze kabisa au akaeleza story tofauti na ile ya mwanahalisi.Manake maadui zake wanaweza kumweleza bwana samehe yale yalikuwa ni matatizo ya kiufundi wakampa shavu akatulia zake kimya.Ndio maana ameanza kuleta porojo.
Manake hili neno:Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi... limepigwa kiufundi sio ajabu ameambiwa aliseme ili kunarrow ushaidi.

Mh! Hili nalo neno. Yote yanawezekana. Tanzania Nchi yangu naipenda kwa matukio

 
Ritz, naona ulipendezwa sana na tukio la Utekaji sababu naona unashabikia vitu vya kipuuzwi zinazotumiwa na jeshi lako lisilo na uwezo wa kupeleleza mambo na kupata ukweli.

Usinisemehe na maneno yako ya kipuuzi wapi nimeshabikia Dr Ulimboka kutekwa? Mie nichaongea ni maneno ya Dr Ulimboka, hayo ya jeshi la polisi na upelelezi mie siyafahamu.
 
SAWA SAWA ANATAKUFA TU HANA LOLOTE.hawataje kama yeye mwanaume sio kutuzungusha hapa,Mx
 
naona unahamu ya kupakatwa... endelea kuwashwa tu, utaolewa bila mahali.... sasa kama makanjanja wanaandika kuwa kukuza mambo tusiseme ???? stiff nakef fool , we endelea kunyonya tu... ntakunyonyesha mpaka muhogo ya jang'ombe KANJANJA tu wewe
poa auntie jipendekeze tu uone kazi yake!!nincompoo, imbecile,wewe ndio auntie nani tena vile??
 
Kaka,
Na wewe mbona unalitetea sana Mwanahalisi una maslahi nalo...kama Mwanahalisi wamesema kweli kama unavyotaka kutuaminisha kwa nini Dr Ulimboka, hautambui uchunguzi wa Mwanahalisi.

WEWE na mimi hatuna uhakika wa ukweli wa mambo yalivyo,na Dr ULI Haja taja jina gazeti la mwanahalisi kuwa limeandika uzushi hizi ni porojo zetu mimi na wewe humu jf.
tusubiri kama yeye mhusika ataweka wazi na si lazima uwazi huo ufanane na walichokiandika mwanahalisi.
tunachokiomba hapa ni Amani itawale ktk swala hili.na kama mwanahalisi lina makosa na nchi ina kwere na walicho kiandika suluhu si kulifungia,ni kulipeleka mahakamani ili kudhibitisha uongo ama ukweli wa kilicho andikwa na mwanahalisi


upo hapo kigogo
 
Naona sasa Dk Ulimboka unafuga ugonjwa ambao mwisho unafahamu madhara yake sasa chelewa na ukishindwa kuwataja sema Tukusaidie. Nahisi nimechoka kuwaogopa wadhalimu,
 
Duh...huyu ulimboka,kazi anayo,hasahasa akiwasikiliza wachombezaji wa humu jf.Tatizo hili suala wamelifanyia siasa ,matokeo yake linashughulikiwa kisiasa.CDM member wa humu ndani wangejiepusha kulitumia jambo hili kisiasa ,kwani waupande wa pili wanapoona hivo ndo wanakomaa zaidi .matokeo yake hakuna kitakachoendelea hapo.tokea mwanzo mgomo unaanza wanasiasa waliharibu na hapo ndo mchezo mchafu uliingia.jinsi madr walivyokua wamejaa kiburi hadi kumwachia pinda liukumbi na ongea yao ya dharau kipindi kile nilijua tu huo mchezo usingeisha salama.
 
Hawezi kusema tena ametishwa na watu wa system. Kaamua kuchagua ukimya. Hutamsikia akisema ukweli wa kilichomtokea anajaribu kubuy time ili Watanzania wasahau.
Utasubiri mpaka yesu ashuke lakini hiyo ndio fact itakua ni porojo tu maadui zake wanakaa nae mezani wanayamaliza kiutu uzima.
 
Idont believe in "one man army" Picha ya Ulimboka ilifungwa mabwepande, no more drama. Ulimboka hawezi kubishana na nguvu iliyomtesa. Nguvu hiyo hiyo itamnyamazisha. Kwanza wenzio alio wapigania amekuta walisha salim amri zamani. Busara atulie asahau na amwombe Mungu.
 
Kitu kilichotokea Dr.Ullimboka maadui zake sasa hivi wako kwenye mazungumzo nae ndio maana analeta siasa hataki kueleza kilichomtokea usishangae asieleze kabisa au akaeleza story tofauti na ile ya mwanahalisi.Manake maadui zake wanaweza kumweleza bwana samehe yale yalikuwa ni matatizo ya kiufundi wakampa shavu akatulia zake kimya.Ndio maana ameanza kuleta porojo.
Manake hili neno:Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi... limepigwa kiufundi sio ajabu ameambiwa aliseme ili kunarrow ushaidi.
Kweli mkuu........Au labda anasubiri senema ya ziwa Nyasa iishe kwanza :A S shade:
 
Dr Ulimboka, kaishasema muacheni apumzike ukweli anaujuwa yeye mwenyewe ikifika muda nitayasema yote yalionitokea na kwa utaratibu maalumu si kama hivi mnavyotaka nyie, kila mtu ananiuliza halafu mnakwenda kuandika ya kwenu, naona imekuwa biashara...haya maneneo ya Dr Ulimboka, anaendelea kufunguka anasema anavilaumu baadhi ya vyombo vya habari kuandika habari ambazo si za kweli kuhusu suala la kutekwa na kwake anasema wamekuwa wakipotosha ukweli...hapa analielezea gazeti la udaku la Mwanahalisi...R.I.P

Cha kushangaza kuna kundi la Pro-Chadema linalazimisha Dr Ulimboka afuate maelezo ya gazeti la Mwanahalisi kama ushahidi kinyume na hapo wanasema eti kanunuliwa...yeye ndio katekwa, kateswa, kapigwa kafanyiwa, na ndio anajua uchungu aliyofanyiwa, halafu wanakuja wana siasa wakiongozwa na Saidi Kubenea, wanajifanya wao ndio wasemaji wa Dr Ulimboka, Kubenea, ulivyomwagiwa tindikali nani alikuwa msemaji wako...msitake kumtumia Dr Ulimboka, maslahi yenu.

Mtu yupo mahututi hospital anapumulia mashine, anakuja mtu ambaye hata hawajuani anajifanya anamjua sana Dr Ulimboka nakuanza kuandika waliomteka Dr Ulimboka ni hawa hapo majina yao ni haya pamoja na namba za simu hizi hapa zingine zilishiwa salio saa usiku...unakwenda kwenye TV unazidi kuropoka, bahati Mungu kamjalia Dr Ulimboka kapona karudi salama yeye ndio atatueleza ukweli.

Hawa ndio katika lile kundi la Mwahalisi wanalazimisha Dr Ulimboka aseme wanavyotaka wao.

Sasa mbona Mwanahalisi imetoa mpaka picha za watu na kusema hawa ndio waliomteka Dr Ulimboka.

Sijui kwa nini hata jana bungeni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe analalamika kwa nini Mwanahalisi limefungiwa.

Ritz inaelekea hii thread inakunyima usingizi kabisa. Naona kila page ina michango yako kati ya nne na sita. Tafuta walau muda wako binafsi wa kupumzika badala ya kupata pressure humu JF. Kama humpendi Ulimboka si ungesema wazi na yale ya moyoni unayomuombea badala ya kujifanya unamtetea wakati tunajua uliyosema alipotoka mstu wa pande mzima.
 
Back
Top Bottom