theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
Kwa wanaokumbuka kisa cha kuvunjwa kwa kituo cha mafuta huko Mwanza, katika eneo lililodaiwa kuwa la hifadhi ya barabara, hawatakuwa wamesahau kwamba Dk Tizeba alikuwa miongoni mwa wakuu wa idara waliofukuzwa kwa amri ya Magufuli kwa madai ya uzembe wa kuruhusu kitua hicho kujengwa barabarani
Sasa ni uso na pua, sijui wataangalianaje kwenye vikao vitakavyowakutanisha! au ndiyo kusema kwamba anayosimamia Magufuli aanayasimamia yeye peke yake ndani ya serikali ya Kikwete ndyo maana haya yanatokea! au Mhe Rais umesahau mara hii?
Tuombe Mugu, ndugu yetu Eng. Dk Tizeba iwe alisingiziwa, na hata kama hakusingiziwa, hilo la kufukuzwa na Magufuli kwa tuhuma za kuhogwa na mhindi wa kituo cha mafuta, liwe lilikuwa funzo kwake na hivyo kuamua kufanya kazi kwa uadilifu, katika unaibu waziri wa uchukuzi ambapo tunaambiwa watangulizi wake, walilambishwa asali
Sasa ni uso na pua, sijui wataangalianaje kwenye vikao vitakavyowakutanisha! au ndiyo kusema kwamba anayosimamia Magufuli aanayasimamia yeye peke yake ndani ya serikali ya Kikwete ndyo maana haya yanatokea! au Mhe Rais umesahau mara hii?
Tuombe Mugu, ndugu yetu Eng. Dk Tizeba iwe alisingiziwa, na hata kama hakusingiziwa, hilo la kufukuzwa na Magufuli kwa tuhuma za kuhogwa na mhindi wa kituo cha mafuta, liwe lilikuwa funzo kwake na hivyo kuamua kufanya kazi kwa uadilifu, katika unaibu waziri wa uchukuzi ambapo tunaambiwa watangulizi wake, walilambishwa asali